Moto Lyrics - Eunice Njeri
Eunice Njeri swahili
Chorus:
Moto ooh unaoteketea
Moto ooh unaoteketea
Wewe ndiwe tamaa yangu
Wewe ndiwe tamaa yangu
Moto Video
Moto Lyrics
Moto ooh unaoteketea
Moto ooh unaoteketea
Wewe ndiwe tamaa yangu
Wewe ndiwe tamaa yangu
Roho wa Mungu nibatize mimi
Roho wa Mungu unijaze tena
Roho wa Mungu nibatize mimi
Roho wa Mungu unijaze tena
Niende wapi nikupate Mungu
Unishawishi kwamba wewe hautakoma
Moyo wangu ni wako, uhai wangu pia ni wako
Moyo wangu ni wako, uhai wangu pia ni wako
Moto ooh unaoteketea
Moto ooh unaoteketea
Wewe ndiwe tamaa yangu
Wewe ndiwe tamaa yangu
Roho wa Mungu nibatize mimi
Roho wa Mungu unijaze tena
Roho wa Mungu nibatize mimi
Roho wa Mungu unijaze tena
Niende wapi nikukwepe roho wa Mungu
Unishawishi kwamba wewe hautakoma
Moyo wangu ni wako, uhai wangu pia ni wako
Moyo wangu ni wako, uhai wangu pia ni wako
Solo: Waka waka, ndani yangu waka waka
Bass: waka waka
Solo: Teketea, ndani yangu teketea
Bass: Tekeketea
Saprano/Alto: Waka waka, ndani yangu waka waka
Bass: waka waka