Hakuna hakuna hakuna
Hakuna usiloweza
Hakuna hakuna hakuna
Hakuna usiloweza
Wewe ni Mungu wakuabudiwa
Milele yote wewe ni kiongozi
Uliwavusha wanaisraeli
Bahari ya shamu kwa uwezi wako
Maserafi makerubi wanasujudu mbele zako
wanazivua taji zao mbele zako wakisema
Niwewe wastahili heshima
Lazima tuimbe tulisifu jina lako
Hakuna hakuna hakuna
Hakuna usiloweza
Hakuna hakuna hakuna
Hakuna usiloweza
...
Hakuna usiloweza Yesu
Hakuna usiloweza Yesu
Hakuna usiloweza Yesu
Write a review/comment/correct the lyrics of Hakuna Usiloweza:
Great praise Song,cont singing 2 our God,he is worthy of praise. 8 months ago
Such a blessing to my soul 9 months ago
Nice praise 10 months ago