Jimmy Gait - Mkono wa Jehovah Lyrics
Lyrics
Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo
Badilisha eeh Badilisha oooh Badilisha eeh Badilisha
Niliambiwa na dakitari Nitafanyiwa upasuaji Huzuni nyingi, majonzi mengi Zikanipata moyoni mwangu
Ewe Yesu kaniambia Uko nami nisiogope Nikafunga safari kwenda Hadi India nikatibiwe
Wakenya mliniombea Kwa moyo wangu nawadhamini Nguvu ya maombi mimi niliona Nikiwa India Mungu alinijia
I am free, I am free I am free, I am free
Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo
Badilisha eeh Badilisha oooh Badilisha eeh Badilisha
Kuna watu walisema ni saratani Wengine wakadai nimekufa Wengine wakasema natafuta kiki Lakini Mungu unanijua
Ndo maana ukaniponya Maisha yangu sasa ni sawa
Nguvu ya maombi mimi niliona Nikiwa India Mungu alinijia
I am free, I am free I am free, I am free
Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo
Badilisha eeh Badilisha oooh Badilisha eeh Badilisha
Ulinibadilishia mambo Ili nitabirie wengine Wanao yapitia mangumu Niwaambie itakuwa sawa
Itakuwa sawasawa aah Itakuwa sawasawa aah Haijalishi unapitia nini Itakuwa sawasawa aah
Angalia juu kwa Yesu Itakuwa sawa aah
Nguvu ya maombi mimi niliona Nikiwa India Mungu alinijia
I am free, I am free I am free, I am free
Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo
Badilisha eeh Badilisha oooh Badilisha eeh Badilisha
Video
Jimmy Gait - Mkono Wa Jehovah