Jimmy Gait - Mkono wa Jehovah Lyrics

Lyrics

Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo

Badilisha eeh Badilisha oooh Badilisha eeh Badilisha 

Niliambiwa na dakitari Nitafanyiwa upasuaji Huzuni nyingi, majonzi mengi Zikanipata moyoni mwangu

Ewe Yesu kaniambia Uko nami nisiogope Nikafunga safari kwenda Hadi India nikatibiwe

Wakenya mliniombea Kwa moyo wangu nawadhamini Nguvu ya maombi mimi niliona Nikiwa India Mungu alinijia

I am free, I am free I am free, I am free

Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo

Badilisha eeh Badilisha oooh Badilisha eeh Badilisha 

Kuna watu walisema ni saratani Wengine wakadai nimekufa  Wengine wakasema natafuta kiki Lakini Mungu unanijua

Ndo maana ukaniponya Maisha yangu sasa ni sawa

Nguvu ya maombi mimi niliona Nikiwa India Mungu alinijia

I am free, I am free I am free, I am free

Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo

Badilisha eeh Badilisha oooh Badilisha eeh Badilisha 

Ulinibadilishia mambo Ili nitabirie wengine Wanao yapitia mangumu Niwaambie itakuwa sawa

Itakuwa sawasawa aah Itakuwa sawasawa aah Haijalishi unapitia nini Itakuwa sawasawa aah

Angalia juu kwa Yesu Itakuwa sawa aah

Nguvu ya maombi mimi niliona Nikiwa India Mungu alinijia

I am free, I am free I am free, I am free

Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo Mkono wako Jehovah Unabadilisha mambo

Badilisha eeh Badilisha oooh Badilisha eeh Badilisha 

Video

Jimmy Gait - Mkono Wa Jehovah

Thumbnail for Mkono wa Jehovah video
Loading...
In Queue
View Lyrics