Ben Pol - Walimwengu Lyrics
Lyrics
Ah mwali wa dodoma chotara Nairobi Kenya Nitakulinda kwa panga bastola Wasije ninyang'anya
Vijipesa navyokupa kukuhonga honga Uvitunze vizuri Nataka tujichange tununue kagari Tuwe na usafiri
Na tufanye juhudi Kiroba cha unga tuwe nacho ndani Vichenji vikirudi kutoka dukani Tuweke kibabani
Mchawi anaua alafu analia Walimwengu jamani Muda nakupotezea, nakuchezea Utaskia wakisema
Hao walimwengu, hao walimwengu Hao walimwengu, hao walimwengu Hao walimwengu, hao walimwengu
Asa twende kongwa tukatembee Tinge moka koti la kitenge Gauni la maua upendeze Jioni turufi kwa Itembe
Furaha yetu yawatesa, maumivu kwao Wanatapa tapa wanakerekwa, wana wivu hao Wanakaa vikao visivyoisha, imekula kwao Wanafanya kazi ya kanisa, kudadeki zao
Asa bam bam bam Kama unainama bam bam bam Fanya kuchutama bam bam bam Zishaendana dam dam dam dam
Asa bam bam bam Kama unainama bam bam bam Fanya kuchutama bam bam bam Zishaendana dam dam dam dam
Mchawi anaua alafu analia Walimwengu jamani Muda nakupotezea, nakuchezea Utaskia wakisema
Hao walimwengu, hao walimwengu Hao walimwengu, hao walimwengu Hao walimwengu, hao walimwengu
(The Mix Killer)
Video
Ben Pol - WALIMWENGU (Official Lyric Visualizer)