Ephraim Sekeleti - Uniongozee baraka Lyrics
Lyrics
Uniongoze na huruma zako Usipo nibariki siwezi enda Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda Minajuwa bila nguvu zako siwezi kuenda Kwa mkono wako kweli umenibariki ih ih Kwa mkkono wako kweli umenibariki Baraka zako ziwe na mimi Mbele ninaendelea ninazidi kutembea Maombi uyasikie eeh bwana unipandishe
Mbele ninaendelea ninazidi kutembea Maombi uyasikie eeh bwana unipandishe
Ee bwana uniinue kwa imani nisimame Nipande milima yote ee bwana unipandshe
Si natamani nikae mahali pa shaka kamwe Hapo wengi wanakaa kuendelea naomba
Nisikae duniani ni mahali pa shetani Natazamia mbinguni nitafika kwa imani
Nataka nipandishwe juu zaidi yale mawingu Nitaomba nifikishwe ee bwana unipandishe
Nataka nipandishwe juu zaidi yale mawingu Nitaomba nifikishwe ee bwana unipandisheMapenzi yako yawe na mimi Namacho yako yawe na mimi Kwa Mukono wako kweli umenibariki kwa mukono wako kweli umenibariki Ulinichagua kabla sijazaliwa Ukanichagua nabii wa mataifa yo Utaninitangulia siatogopa Chochote Baraka zako ziwe na mimi Mapenzi yako yawe na mimi Namacho yako yawe na mimi Kwa Mukono wako kweli umenibariki kwa mukono wako kweli umenibariki Tembea nami ee bwana Tembea nami baba yoo
Video
Ephraim Sekeleti - Uniongoze [Official Video]