Alphanny - Badala Ujiombee Lyrics
Lyrics
Pale ulitaka nifelisha,Mungu kanipitisha Ni sawa uliniangusha nimeinuka tena Na ulitaka kunidunisha,Mungu kanisifisha Habari nakujulisha ujuee ah
Yaani badala ujiombee,unaniombea nifeli Badala ujinenee,unaninenea mabaya Yaani badala ujiombee,unaniombea nifeli Badala ujinenee,unaninenea mabaya
Uzuri ni kwamba,Mungu haitaji ripoti yako Akitaka nibariki, Mungu haitaji ruhusa yako Uzuri ni kwamba, Mungu haitaji ripoti yako Akitaka niinua, Mungu haitaji ruhusa yako.
Oooh,mama mama sala zako nategemea Na baraka za baba, binadamu wamenilemea Hata kwao sijakosa wanaotamani nije potea Usichoke kuniombea mama
Nakuomba Mungu hata wakinisema, mi nizidi wapenda Wakinipangia njama ,niwaombee kama ndugu tu Maana sitaki kuikosa mbingu sababu ya maneno yao Milindie moyo tu, maumivu yapo Ila niwape upendo ili wakuone wewe Katika upendo wako tu.
Yaani badala ujiombee,unaniombea nifeli Badala ujinenee,unaninenea mabaya Yaani badala ujiombee,unaniombea nifeli Badala ujinenee,unaninenea mabaya
Uzuri ni kwamba,Mungu haitaji ripoti yako Akitaka nibariki, Mungu haitaji ruhusa yako Uzuri ni kwamba, Mungu haitaji ripoti yako Akitaka niinua, Mungu haitaji ruhusa yako.
Video
BADALA UJIOMBEE - ALPHANNY (Official 4k Video)