Ben Pol - Ebenezer Lyrics
Lyrics
Mashuhuri kwa hakika Najongea kukupa sifa Wimbo wako wa Taifa Na ndo maana mimi sichoki kukuimba
Mimi ni nani hata nichoke?(Choke) Sana nataka si tuwe wote(Wote) Mimi ni nani hata nizubae?(Zubae) Ushindi lazima nikiwa nawe
Haa aah! Unanikosha unanivuta Haa aah! Unaniita umejificha Haa aah! Unanikosha unanivuta Haa aah! Nimeshafika
Ebenezer, Ebenezer Oooh Ebenezer, Ebenezer Eey Ebenezer, Ebenezer Oooh Ebenezer, Ebenezer Eey Ebenezer
Asubuhi vile jua likiwaka Natambua ni nafasi umenipa Sio nadeka Sitaki kabisa kuchomoka
(Aaah aaah..)
Wewe hukawii unayejibu kwa wakati Nakupenda ngii nikiwa nawe sishikiki Wewe hukawii unayejibu kwa wakati ooh Nakupenda ngii(Haa, hey)
Haa aah! Unanikosha unanivuta Haa aah! Unaniita umejificha Haa aah! Unanikosha unanivuta Haa aah! Nimeshafika
Ebenezer, Ebenezer Oooh Ebenezer, Ebenezer Eey Ebenezer, Ebenezer Oooh Ebenezer, Ebenezer Eey Ebenezer
(Yeah..)
Jabari hodari, wewe ngome imara Safari sikwami, dereva mambo sawa Jabari hodari, wewe ngome imara Safari sikwami, dereva mambo sawa
Jabari hodari, wewe ngome imara Safari sikwami, dereva mambo sawa Jabari hodari, wewe ngome imara Safari sikwami, dereva mambo sawa Haa aah(Wewe ngome imara) Haa aah(Dereva mambo sawa) Haa aah(Wewe ngome imara) Haa aah(Dereva mambo sawa)
Ebenezer, Ebenezer Oooh Ebenezer, Ebenezer Eey Ebenezer, Ebenezer Oooh Ebenezer, Ebenezer Eey Ebenezer
Video
Ben Pol - EBENEZER (Official Live Session)