Ben Pol - Wewe Lyrics
Lyrics
Kama anaona ni sawa Anachofanya ni sawa Siwezi kum force, siwezi kumi azimisha Si ananiona mi boya Anachofanya kunikomoa Anajua nampenda ndo maana anipeleka puta Moyoni wangu, natamani nikutoe Natamani nisikupende tena wewe wewe Maumivu yangu huyajali hata kodogo Hivi una roho gani mbaya sana wewe wewe
Mi nataka kuwa na we Kuwa na wewe tu Ulonifanya kuwa na we Kuwa na wewe tu Mi nataka kuwa na we, wewe tu Ulonifanya kuwa na we
Hivi alitaka nini kwangu nikashindwa kumpatia Mbona mapenzi nilimpa na hata pesa nilimpa Kumbe hana jema, hana jema Na inavyoonekana hata ningempa nini angenitema Ulivyo mzuri mtu hawezi kudhani kama una roho mbaya wewe Sura yako na metendo yako havifanani nawe
Video
Ben Pol - Wewe (Official Video)