Joel Lwaga - Bila Bila Lyrics
Lyrics
Here are the lyrics for the song "Bila Bila" by Joel Lwaga :
[Verse 1] Nikitazama nilikotoka, hapa nilipo ninapokwenda Ninagundua Ngekuwa ni nguvu zangu Ningeshachoka nisingeweza
Sio kweli kwamba tu ku-hustle na kupambana ndio vimenitoa Juhudi haizidi kudra Siwezi sema babu hakujituma
[Pre-Chorus] Niliitwa ndugu lawama Mfano wa waliokwama Mtu asiye na maana Wa kuchekwa kudharauliwa Ila Mungu ana maguvu Bwana, leo nikipita wanaitana Sa ngoja nami niwaite, niwape siri ukweli ni kwamba
[Chorus] Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Hamna kitu yani zero bila Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Sina ujanja yani zero bila
Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Hamna kitu yani zero bila Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Sina ujanja yani zero bila
[Verse 2] Yani kama meli isiyo na nahodha Kama bunge lisilo na hoja Mi ni debe tupu bila ya Mola Msidanganyike nje mnavyoniona Sina mzizi, wala mlozi Nina mtetezi tena yu hai Ye ndo siri ya mi kunawiri Bila ye mi chali na sifurukuti
[Pre-Chorus] Niliitwa ndugu lawama Mfano wa waliokwama Mtu asiye na maana Wa kuchekwa kudharauliwa Ila Mungu ana maguvu Bwana, leo nikipita wanaitana Sa ngoja nami niwaite, niwape siri ukweli ni kwamba
[Chorus] Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Hamna kitu yani zero bila Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Sina ujanja yani zero bila
Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Hamna kitu yani zero bila Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Sina ujanja yani zero bila
Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Hamna kitu yani zero bila Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Sina ujanja yani zero bila
Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Hamna kitu yani zero bila Bila Mungu mimi (Bila, bila, bila) Sina ujanja yani zero bila
Video
Joel Lwaga - Bila Bila (Visualizer)