Sifa Lyrics

Jionyeshe by Bahati + Princess Leo cover art

Bahati + Princess Leo - Jionyeshe Lyrics

Artist:
Bahati + Princess Leo
Album:
Jionyeshe - Single
Official Release:
15 Oct 2018

Lyrics

Bahati:


Mungu wangu eeh 


Mungu wangu nakuita we Baba eeh 


Tunahisi Mungu umesonga uko far away 


Hawana kazi wakumbuke Messiah Wee 


Mashambani wanapata hasara wee 


Jionyeshe wakujue Baba watambue 


Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 


Princess Leo: 


Jionyeshe wakujue Baba watambue 


Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 


Jionyeshe Baba Tusaidiee eeh 


Eeheeh Yesu tuokoe 


Ee-eh Jionyeshe Baba 


eeh Yesu tukuone 


Bahati:  


Wazazi wetu wanapata pressure sinung'uniki [?] 


Mara shuleni wanatuma pesa tusome 


Tunakuwa slay queens 


Princess Leo:


Mara wana[?] huo ndo utanashati 


Mjini kuzurura vilabu, viganjani [?] 


Tusamee ee-ee-eeh 


Tusamee ee-eeh 


Bahati:


Jionyeshe wakujue, Baba watambue 


Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 


Princess Leo: 


Jionyeshe wakujue Baba watambue 


Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 


Jionyeshe Baba Tusaidiee eeh 


Eeheeh Yesu tuokoe 


Ee-eh Jionyeshe Baba 


eeh Yesu tukuone 


Jionyeshe kwa huduma yangu eeh


Uuu kwa biashara yangu 


Ooh nakuhitaji sana 


Kwa familia zao Yesu jionyeshe wewe 


Tunakuhitaji sana Baba 


Bahati:


Jionyeshe wakujue, Baba watambue 


Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 


Princess Leo: 


Jionyeshe wakujue Baba watambue 


Mizogo uwaondole, Yesu watulie eeh 


Jionyeshe Baba Tusaidiee eeh 


Eeheeh Yesu watulie eeh 


Video