Bahati - Nikumbushe Lyrics

Nikumbushe Lyrics

Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe 
Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe
Nikumbushe eh unikumbushe eh

Leo nyota imeng'aa nasahau nilikotoka
Naidharau mitaa na mateso niliyosota, aie
Ndugu zangu kinyaa mafukara wananichosha
Niache wafe na njaa nijisifu nitawanyosha eh

Sili kwetu Kisumu bondo, chakula haina swaga,
Sitaki kula chapo dondo nataka pizza na buger ehh,
Uniepushe maulana nisiishie njiani,
Unikumbushe ya jana, kesho nipe dhamani
Kwenye maisha ya muziki, ukiwa na uendo utaishi
Timu hazijengi urafiki, tusije kuuana kwa kugombania viti
Eti nimuache mama kwenye dhiki, kisa mambo yangu yametiki
Akipiga simu siishiki, nikipokea nimwone kama shabiki

Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe 
Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe
Nikumbushe eh unikumbushe eh

Nimejawa na kiburi, ukweli haupo nami,
Alionifunzage dini mama, simwiti mummy,
Roho imejawa na uhuni, star najiona mi
Nikipita na kagari vumbi , natupia wadhee
niwe kama peter, kumkana yesu mara tatu nikumbushe
Niwe kama jonah, kukataa kutumwa nineveh nikumbushe
Ah mwanabujah alionipa suporti, namtusi ilimradi iwe kiki
Walionipa jina mashabiki leo, nawaona wanafiki

Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe 
Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe
Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe
Nikumbushe eh unikumbushe eh


Nikumbushe Video

Nikumbushe Lyrics -  Bahati

Bahati Songs

Related Songs