Sifa Lyrics

Nikumbushe by Bahati cover art

Bahati - Nikumbushe Lyrics

Artist:
Bahati

Lyrics

Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe


Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe 


Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe


Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe


Nikumbushe eh unikumbushe eh


Leo nyota imeng'aa nasahau nilikotoka


Naidharau mitaa na mateso niliyosota, aie


Ndugu zangu kinyaa mafukara wananichosha


Niache wafe na njaa nijisifu nitawanyosha eh


Sili kwetu Kisumu bondo, chakula haina swaga,


Sitaki kula chapo dondo nataka pizza na buger ehh,


Uniepushe maulana nisiishie njiani,


Unikumbushe ya jana, kesho nipe dhamani


Kwenye maisha ya muziki, ukiwa na uendo utaishi


Timu hazijengi urafiki, tusije kuuana kwa kugombania viti


Eti nimuache mama kwenye dhiki, kisa mambo yangu yametiki


Akipiga simu siishiki, nikipokea nimwone kama shabiki


Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe


Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe 


Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe


Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe


Nikumbushe eh unikumbushe eh


Nimejawa na kiburi, ukweli haupo nami,


Alionifunzage dini mama, simwiti mummy,


Roho imejawa na uhuni, star najiona mi


Nikipita na kagari vumbi , natupia wadhee


niwe kama peter, kumkana yesu mara tatu nikumbushe


Niwe kama jonah, kukataa kutumwa nineveh nikumbushe


Ah mwanabujah alionipa suporti, namtusi ilimradi iwe kiki


Walionipa jina mashabiki leo, nawaona wanafiki


Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe


Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe 


Usiponiona leo kama jana kesho nikumbushe


Nisipokuwa leo kama jana kesho unikumbushe


Nikumbushe eh unikumbushe eh


Video