Bahati - Bado Lyrics

Lyrics

Eeh niaje Deno Vipi Bahati tena?

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado Kuna wakati nawaza sipo niambie bado Kuna wakati nafika mwisho niambie bado Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado Nikumbushe bado, mwanao bado

Nimesoma degree na kazi bado(Bado) Mke wangu anadanga umasikini chanzo(Bado) Vibarua Eastleigh na kazi bado(Bado) Nyuma nayo ya kupanga elimu zero(Bado)

Mama analia cancer matibabu bado Heri yule tajiri atatibiwa Ng'ambo Baba lini machozi yatafika mwisho Fanya hima ushuke tumefika mwisho

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado Kuna wakati nawaza sipo niambie bado Kuna wakati nafika mwisho niambie bado Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado Nikumbushe bado, mwanao bado

Mwanao nimemiss kucheka Vile vifunny funny vya wenzangu Natamani hata kuona  Nijue sura ya mke wangu

Pia mwezi na nyota nione Nikichunguza na kuvutia Alafu isitoshe Shida zimeniandama aaah

Kodi sijalipa(Bado) Jirani anachoma nyama aah Angalau hata mboga(Bado)

Si ati kwamba nasahau Unaniwaziaga mema(Bado) Ila mwisho nimefika Lakini nakutazamia(Bado) 

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado Kuna wakati nawaza sipo niambie bado Kuna wakati nafika mwisho niambie bado Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado Nikumbushe bado, mwanao bado

Mwanao nimemiss kucheka Vile vifunny funny vya wenzangu Natamani hata kuona  Nijue sura ya mke wangu

Mwanao nimemiss kucheka Vile vifunny funny vya wenzangu Natamani hata kupata baraka  Nifanane na wenzangu

Kuna wakati nafika mwisho niambie bado Kuna wakati nawaza sipo niambie bado Kuna wakati nafika mwisho niambie bado Kuna wakati nawaza kifo niambie bado

Nikumbushe bado, niambie bado Nikumbushe bado, mwanao bado

Video

BADO- Bahati feat. Patoto Pa Sweetstar & Harrie Richie

Thumbnail for Bado video
Loading...
In Queue
View Lyrics