Furaha, tunaimba siku ya leo
Tumepewa, ushindi
Nguvu zetu si za damu wala nyama
Tumepewa na Roho
Furaha, tunaimba siku ya leo
Tumepewa, ushindi
Nguvu zetu si za damu wala nyama
Tumepewa na Roho
Kweli Bwana ni upande wetu
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote
Hata shida ziinuke tele
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote
Kweli Bwana ni upande wetu
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote
Hata shida ziinuke tele
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote
Furaha, tunaimba siku ya leo
Tumepewa, ushindi
Nguvu zetu si za damu wala nyama
Tumepewa na Roho
Kweli Bwana ni upande wetu
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote
Hata shida ziinuke tele
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote
Tuna yule aliye shinda giza, na uwezo wake
Kwa upande wetu, tuna nguvu juu ya mambo yote
Tuna yule aliye shinda giza, na uwezo wake
Kwa upande wetu, tuna nguvu juu ya mambo yote
Anyetutunza, anashughulika nasi
Anatupa nguvu, pia anakesha kwetu
Anyetutunza, anashughulika nasi
Anatupa nguvu, pia anakesha kwetu
Anayechanganya adui zetu
Ni Yesu
Ni Yesu
Anayetupenda
Anatetujali
Anayetutunza
Anatupa nguvu
Ni nani yule?
Mfariji wetu
Kimbilio letu
Tegemeo letu