Patrick Kubuya - Ni Yesu Lyrics

Ni Yesu Lyrics

Furaha, tunaimba siku ya leo 
Tumepewa, ushindi 
Nguvu zetu si za damu wala nyama 
Tumepewa na Roho 

Furaha, tunaimba siku ya leo 
Tumepewa, ushindi 
Nguvu zetu si za damu wala nyama 
Tumepewa na Roho

Kweli Bwana ni upande wetu 
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote 
Hata shida ziinuke tele 
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote 
Kweli Bwana ni upande wetu 
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote 
Hata shida ziinuke tele 
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote 

Furaha, tunaimba siku ya leo 
Tumepewa, ushindi 
Nguvu zetu si za damu wala nyama 
Tumepewa na Roho

Kweli Bwana ni upande wetu 
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote 
Hata shida ziinuke tele 
Hatuna haja ya kuogopa kitu chote 

Tuna yule aliye shinda giza, na uwezo wake
Kwa upande wetu, tuna nguvu juu ya mambo yote
Tuna yule aliye shinda giza, na uwezo wake
Kwa upande wetu, tuna nguvu juu ya mambo yote

Anyetutunza, anashughulika nasi 
Anatupa nguvu, pia anakesha kwetu 
Anyetutunza, anashughulika nasi 
Anatupa nguvu, pia anakesha kwetu 
Anayechanganya adui zetu 
Ni Yesu 

Ni Yesu 
Anayetupenda 
Anatetujali 
Anayetutunza 
Anatupa nguvu 
Ni nani yule? 
Mfariji wetu 
Kimbilio letu 
Tegemeo letu 


Ni Yesu Video

Ni Yesu Lyrics -  Patrick Kubuya

Patrick Kubuya Songs

Related Songs