Sifa Lyrics

Mungu Hawezi Kukusahau by Christopher Mwahangila cover art

Christopher Mwahangila - Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics

Artist:
Christopher Mwahangila

Lyrics

Ooh Kweli na kwamba Danieli  


Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali 


Ooh Kweli na kwamba Danieli  


Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali 


Mbali na kwamba Shedraki na Abedinego 


Walitupwa kwenye tanuru la moto 


Watu wakajiuliza sana, tulitupa watatu 


Wanne amatoka wapi? 


Askari wakajiuliza, tulitupa watatu 


Wanne amatoka wapi?


Kumbe katikati ya taabu Mungu yupo 


Katikati ya mateso Mungu yupo 


Katikati ya taabu zako Mungu yuko 


Katikati ya vita kubwa Mungu yupo 


Hawezi kukusahau, Hawezi kukumbia 


Oh Mungu wetu hawezi kukusahau 


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi


(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi


(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Usife Moyo ndugu wewe


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi


(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Usikate tamaa Mungu hawezi 


Mungu hawezi, hawezi


Mungu hawezi kukusahau 


Usijione uko pekee yako, aah 


Kwa nini umepanga kujiua wewe? 


Kwa nini umepanga kuikana imani yako?


Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?


Unaona maisha yamefika mwisho 


Kwa nini umepanga kujiua wewe? 


Kwa nini umepanga kuikana imani yako?


Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?


Umehangaika sana ndugu 


Ooh unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako 


Ninalo neno nataka kusema na wewe 


Ninalo neno nataka kuzungumza nawe 


Hata upitie shida ndugu yangu 


Hata upitie magumu ndugu yangu 


Mungu yuko na wewe katikati ya majaribu 


Mungu yuko na wewe usikate tamaa 


Mungu yuko na wewe usipange kurudi nyuma 


Mungu wee hawezi kukusahau 


Mungu wee hawezi kukukimbia  


Mungu wee hawezi kukuacha wee 


Haweezi haweezi, Hawezi Mungu 


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi


(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi


(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Usife Moyo ndugu wewe


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi


(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Usikate tamaa, usirudi nyuma 


Mungu hawezi, hawezi


Mungu hawezi kukusahau 


Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe 


Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe 


Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe


Mungu hawezi , hawezi kukusahau x2 


Wanadamu wanaweza kukusahau 


Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 


Wanadamu wanaweza kukukimbia 


Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 


Wanadamu wanaweza wakakutenga 


Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 


Wanadamu wanaweza wakakataa 


Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 


Haweezi Mungu wangu, 


Haweezi Mungu wangu, aiyoo


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi


(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi


(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Usife Moyo ndugu wewe


Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi


(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 


(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 


Usikate tamaa, usirudi nyuma  


Mungu hawezi, hawezi


Usinung'unike


Mungu hawezi kukusahau 


Video