Christopher Mwahangila - Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics

Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics

Ooh Kweli na kwamba Danieli  
Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali 
Ooh Kweli na kwamba Danieli  
Alikuwa katikati ya simba wenye njaa kali 
Mbali na kwamba Shedraki na Abedinego 
Walitupwa kwenye tanuru la moto 
Watu wakajiuliza sana, tulitupa watatu 
Wanne amatoka wapi? 
Askari wakajiuliza, tulitupa watatu 
Wanne amatoka wapi?
Kumbe katikati ya taabu Mungu yupo 
Katikati ya mateso Mungu yupo 
Katikati ya taabu zako Mungu yuko 
Katikati ya vita kubwa Mungu yupo 
Hawezi kukusahau, Hawezi kukumbia 
Oh Mungu wetu hawezi kukusahau 

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usikate tamaa Mungu hawezi 
Mungu hawezi, hawezi
Mungu hawezi kukusahau 
Usijione uko pekee yako, aah 

Kwa nini umepanga kujiua wewe? 
Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
Unaona maisha yamefika mwisho 
Kwa nini umepanga kujiua wewe? 
Kwa nini umepanga kuikana imani yako?
Kwa nini umepanga kwenda kwa waganga wa kienyeji?
Umehangaika sana ndugu 
Ooh unaona kama dunia zima umeachwa pekee yako 
Ninalo neno nataka kusema na wewe 
Ninalo neno nataka kuzungumza nawe 
Hata upitie shida ndugu yangu 
Hata upitie magumu ndugu yangu 
Mungu yuko na wewe katikati ya majaribu 
Mungu yuko na wewe usikate tamaa 
Mungu yuko na wewe usipange kurudi nyuma 
Mungu wee hawezi kukusahau 
Mungu wee hawezi kukukimbia  
Mungu wee hawezi kukuacha wee 
Haweezi haweezi, Hawezi Mungu 

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usikate tamaa, usirudi nyuma 
Mungu hawezi, hawezi
Mungu hawezi kukusahau 



Ninataka nikutie moyo mama yangu wewe 
Ninataka nikutie moyo baba yangu wewe 
Ninataka nikutie moyo ndugu yangu wewe
Mungu hawezi , hawezi kukusahau x2 
Wanadamu wanaweza kukusahau 
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 
Wanadamu wanaweza kukukimbia 
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 
Wanadamu wanaweza wakakutenga 
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 
Wanadamu wanaweza wakakataa 
Lakini sio Mungu, lakini sio Mungu 
Haweezi Mungu wangu, 
Haweezi Mungu wangu, aiyoo

Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Mungu hawezi (Mungu hawezi) hawezi
(Mungu hawezi) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usife Moyo ndugu wewe
Mungu hawezi (Oh Mungu Mungu) hawezi
(oh Mungu Mungu) Mungu hawezi kukusahau 
(Hawezi kuwacha ujifie mwenyewe) 
Usikate tamaa, usirudi nyuma  
Mungu hawezi, hawezi
Usinung'unike
Mungu hawezi kukusahau 


Mungu Hawezi Kukusahau Video

Mungu Hawezi Kukusahau Lyrics -  Christopher Mwahangila

Christopher Mwahangila Songs

Related Songs