Zabron Singers - Nimerudishiwa Lyrics

Lyrics

Yupo mungu wa upendo Pamoja twamuita Baba Mwenye familia na upendo Asiye na mwanzo wala mwisho Mungu mwenye haki Muumba wa mbingu Huwapa haki watu wote Tumaini la mwisho kwa watu Watu wa dunia hii

Tangu mi nikujue sio Yule Umerudisha mengi kwangu, ndio Bwana ninakusifu Naimba halleluya Utukuzwa milele yote

Nimerudishiwa na bwana Thamani ya uzima yangu Siwezi hesabu Siwezi kuhesabu Matendo na wema ya mungu Nimerudishiwa na Yesu Zaidi ya jana na juzi Sasa ninakiri Ninashuhudia kuna mungu Mungu wa watu

Utumwa wa yusufu Bwana uliondoa Kamvika na heshima, kapanda kapanda Kawa mheshimiwa Bwana uliondoa shida za yusufu tukuzwe

Nilipolemewa na mizigo Moyo ukajawa na simanzi, hee Ukanirudishia furaha yangu Ukanijaza Baraka na uzima

Nimerudishiwa na bwana Thamani ya uzima yangu Siwezi hesabu Siwezi kuhesabu Matendo na wema ya mungu Nimerudishiwa na Yesu Zaidi ya jana na juzi Sasa ninakiri Ninashuhudia kuna mungu Mungu wa watu

Najua najua kwamba wewe Ni mungu uliye mwaminifu Kwamba, mambo yote warudisha Nilivyopoteza Bado mi huomba huomba Sijawahi kuchoka Nakuamini pekee, pekee Yesu Wanipenda ndio maana Warudisha vingi vilivyo vyangu

Nimerudishiwa na bwana Thamani ya uzima yangu Siwezi hesabu Siwezi kuhesabu Matendo na wema ya mungu Nimerudishiwa na Yesu Zaidi ya jana na juzi Sasa ninakiri Ninashuhudia kuna mungu Mungu wa watu

Video

Nimerudishiwa by Zabron Singers

Thumbnail for Nimerudishiwa video
Loading...
In Queue
View Lyrics