Sifa Lyrics

Nasema Asante by Christopher Mwahangila cover art

Christopher Mwahangila - Nasema Asante Lyrics

Artist:
Christopher Mwahangila
Album:
Nasema Asante - Single
Official Release:
25 Nov 2019

Lyrics

Part 1


Huu wimbo ni wimbo wa shukrani 

Usikie Mungu wangu 

Niseme nini kwako 

Nilipe nini kwako 

Sina cha kulipa mbele zako Mungu wangu 

Huu wimbo ni shukurani ni shukurani kwako 

Iyoo yoo yoo yo


Refrain


Nasema asante 

Nasema asante 

Nasema asante 

Ewe Mungu wangu 

(rudia *2)

Hakuna Mungu kama wewe 

Hakuna Mungu kama wewe 

Hakuna Mungu kama wewe 

Ewe Mungu wangu 

(rudia *2) 


Part 2


Kwa kazi ya msalaba goligota uliniokota 

Niseme nini mbele zako Bwana wangu nashukuru 

Umenipa heshima umefuta aibu 

Niseme nini mbele zako Baba nashukuru 

Umekuwa wa kwanza umekuwa wa mwisho 

Alfa Omega Baba niwewe 


Part 3


Wewe ni Alfa na Omega 

Wewe ni Alfa na Omega 

Wewe ni Alfa na Omega 

Ewe Mungu wangu 

(rudia *2)


Part 4


Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho 

Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho 

Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho 

Ewe Mungu wangu 


Part 5


Umerejesha yaliyoliwa Bwana 

Na palale na madumadu

Umewaweka chini yangu Bwana 

Adui zangu wote  


Refrain


Nasema asante 

Nasema asante 

Nasema asante 

Ewe Mungu wangu 

Hakuna Mungu kama wewe 

Hakuna Mungu kama wewe 

Hakuna Mungu kama wewe 

Ewe Mungu wangu 


Credits & Song Information

Release Date
November 25, 2019
Official source verified · Apple Music

Add song information · Add a supporting source

Video

Meaning & Inspiration

“Nasema Asante” is a direct address to God, repeatedly returning to gratitude. References to God and the cross keep the focus on worship and thanksgiving rather than on a separate narrative.