Lyrics
Part 1
Huu wimbo ni wimbo wa shukrani
Usikie Mungu wangu
Niseme nini kwako
Nilipe nini kwako
Sina cha kulipa mbele zako Mungu wangu
Huu wimbo ni shukurani ni shukurani kwako
Iyoo yoo yoo yo
Refrain
Nasema asante
Nasema asante
Nasema asante
Ewe Mungu wangu
(rudia *2)
Hakuna Mungu kama wewe
Hakuna Mungu kama wewe
Hakuna Mungu kama wewe
Ewe Mungu wangu
(rudia *2)
Part 2
Kwa kazi ya msalaba goligota uliniokota
Niseme nini mbele zako Bwana wangu nashukuru
Umenipa heshima umefuta aibu
Niseme nini mbele zako Baba nashukuru
Umekuwa wa kwanza umekuwa wa mwisho
Alfa Omega Baba niwewe
Part 3
Wewe ni Alfa na Omega
Wewe ni Alfa na Omega
Wewe ni Alfa na Omega
Ewe Mungu wangu
(rudia *2)
Part 4
Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho
Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho
Wewe Mungu ni Wakwanza na wa mwisho
Ewe Mungu wangu
Part 5
Umerejesha yaliyoliwa Bwana
Na palale na madumadu
Umewaweka chini yangu Bwana
Adui zangu wote
Refrain
Nasema asante
Nasema asante
Nasema asante
Ewe Mungu wangu
Hakuna Mungu kama wewe
Hakuna Mungu kama wewe
Hakuna Mungu kama wewe
Ewe Mungu wangu
Credits & Song Information
Video
Meaning & Inspiration
“Nasema Asante” is a direct address to God, repeatedly returning to gratitude. References to God and the cross keep the focus on worship and thanksgiving rather than on a separate narrative.