Ali Mukhwana - Tazama Lyrics

Album: Watakusema
Released: 18 Oct 2020
iTunes Amazon Music

Lyrics

Kwako mimi natazamia
Kwako mimi natazama
Kwako mimi natazamia
Kwako mimi natazama

Sheria yako, Imo moyoni mwangu
Kuyafanya mapenzi yako yote 
Sheria yako, Imo moyoni mwangu
Kuyafanya mapenzi yako yote 

Unitumie jinsi upendavyo baba
Unitawale jinsi utakavyo
Unitumie jinsi upendavyo baba
Unitawale jinsi utakavyo

Kwako mimi natazamia
Kwako mimi natazama
Kwako mimi natazamia
Kwako mimi natazama

Furaha yangu siwezi ficha bwana
Kwa yale yote umenitendea
Furaha yangu siwezi ficha bwana
Kwa yale yote umenitendea

Sheria yako, Imo moyoni mwangu
Kuyafanya mapenzi yako yote 
Sheria yako, Imo moyoni mwangu
Kuyafanya mapenzi yako yote 

Kwako mimi natazamia
Kwako mimi natazama
Kwako mimi natazamia
Kwako mimi natazama 

Uliye ndiye, ndiwe
Wewe uliye neno langu la mwisho
Ni wewe,  wewe uliye neno langu 

Uliye ndiye, ndiwe
Wewe uliye neno langu la mwisho
Ni wewe,  wewe uliye neno langu 

Ni wewe, ni wewe bwana

Video

Ali Mukhwana - Tazama | Watakusema Album

Thumbnail for Tazama video
Loading...
In Queue
View Lyrics