Zabron Singers - Jivunie Chako Lyrics

Jivunie Chako Lyrics

Ndoa ni kkwanza kuelewana (sio fujo, mateke na ngumi)
Ndoa ni kkwanza kuelewana (sio uwanja wa mapambano)
Umtunze mkeo, umpende mmeo
Huyo ndiye wako, kipenzi cha moyo wako
Umtunze mkeo, umpende mmeo

Jivunie chako, fuhara ya moyo wako
Nawahasa msigoùbane tena
Na ndoa yenu msilie tena, uliyempata leo ndiye kipenzi chako
Siunajua mmekubaliana
Kweli ni kwamba nyie mnapendana
Ndio maana tumekuja leo
Tumalize jambo lenu
Hivi unajua ilikuwaje
Mpaka huyo eva apatikane
Huyo eva alitoka kwenye ubavu
Ubavu wa mwanaume
Adamu kasema sasa huyu mifupa katika mifupa yangu
Na nyama katika nyama yangu
Ataitwa mwanamke
Kwa hiyo sasa huyo mwanaume, atamuacha baba yake
Atamuacha baba yake na mama yake tena
Aambatane na mkewe, wakaishi kwa fuhara
Watakuwa mwili mmoja wataishi pamoja
Hivi unajua ilikuwaje huyu bi harusi apatikane
Bwana harusi hatika amepambana ampate kipenzi chake
Twawaombea mkafurahi vicheko utani na raha nyingi
Watu wote leo tuko hapa tumalize jambo lenu
Ndoa ni kwanza kuelewana (sio fujo, mateke na ngumi)
Ndoa ni kkwanza kuelewana (sio uwanja wa mapambano)
Umtunze mkeo, umpende mmeo
Huyo ndiye wako, kipenzi cha moyo wako
Umtunze mkeo, umpende mmeo

Jivunie chako, fuhara ya moyo wako
Watu wamekuja kuwapa mji ndugu na rafiki
Wote wamefurahi kuwa hapa kwa ajili yenu
Basi sasa msipigane mpendane mchukuliane mbebane
Mvumiliane muwe wakufichiana siri
Ugomvi na hasira hasira msifanye mueleweshane kwa upole
Majibu mazuri upalilia upendo
Na kwa sasa sisi tumeridhika taratibu zote mmezifata
Kama vile bwana mungu aliagiza, mfunge ndoa takatifu
Kikubwa sasa twawaombea mungu awape maisha marefu
Yenye baraka furaha pia upendo katika nyumba yenu
Basi sasa msipigane mpendane, mchukuliane mbebane
Mvumiliane muwe wakufichiana siri

Ugomvi na hasira hasira msifanye mueleweshane kwa upole
Majibu mazuri upalilia upendo
Usimpige mkeo utakuwa wajipiga mwenyewe
Maana sasa nyinyi ni mwili mmoja
Utajiumiza mwenyewe asipoumia mwili atakua ameumia moyo
Nawe pia utajiumiza moyo, furaha ukosekana
Ndoa ni kwanza kuelewana (sio fujo, mateke na ngumi)
Ndoa ni kkwanza kuelewana (sio uwanja wa mapambano)
Umtunze mkeo, umpende mmeo
Huyo ndiye wako, kipenzi cha moyo wako
Umtunze mkeo, umpende mmeo

Jivunie chako, fuhara ya moyo wako


Zabron Singers-Jivunie Chako (Official video lyrics)

Jivunie Chako Song Meaning, Biblical Reference and Inspiration

The song "Jivunie Chako" by Zabron Singers delivers a powerful and practical message centered on the sanctity and responsibilities within marriage. Rooted in their signature style of gospel music often conveying social and spiritual guidance, the group uses a direct and accessible approach to address common challenges faced by couples. The core message revolves around mutual understanding and cherishing one's spouse, highlighting that a successful marriage is built on a foundation of respect and deliberate care for one another.

The lyrics repeatedly and emphatically reject conflict and violence as components of marriage. Phrases like "sio fujo, mateke na ngumi" (not chaos, kicks, and punches) and "sio uwanja wa mapambano" (not a battleground) clearly delineate what marriage should *not* be. Instead, the song advocates for patience ("mvumiliane"), bearing one another's burdens ("mchukuliane mbebane"), keeping secrets ("mue wakufichiana siri"), and resolving disagreements gently ("mueleweshane kwa upole"). This contrast between destructive behavior and constructive communication forms a central theme, urging couples to choose love and understanding over anger and fighting.

An inspirational aspect of the song is the call to "Jivunie chako" (Be proud of what is yours / your spouse), coupled with the affirmation "Huyo ndiye wako, kipenzi cha moyo wako" (That is yours, the beloved of your heart). This encourages appreciation and acceptance of the person one has chosen to marry. The lyrics also touch upon the communal support for the couple, noting that friends and family are present to celebrate and finalize their union, reinforcing the idea that marriage is a significant covenant witnessed and supported by community. The song includes a prayer for the couple's long life, blessings, joy, and love, adding a spiritual dimension to the well wishes.

The song draws significant inspiration from biblical narrative, specifically referencing the creation account of Adam and Eve in Genesis 2:21-24. It recounts how Eve was taken from Adam's side and Adam's declaration that she was "mifupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu" (bone of my bones and flesh of my flesh). This foundational scripture is used to explain the concept of becoming "one flesh" in marriage and the instruction for a man to leave his parents and cling to his wife. By incorporating this biblical basis, the song emphasizes the divine design and purpose of marriage, providing a spiritual grounding for the practical advice offered throughout the lyrics.

Furthermore, the theme of "one flesh" is powerfully used to discourage spousal abuse. The lyrics state, "Usimpige mkeo utakuwa wajipiga mwenyewe Maana sasa nyinyi ni mwili mmoja" (Don't beat your wife, you will be beating yourself because now you are one body). This highlights the interconnectedness of the couple, asserting that harm inflicted on one partner directly impacts the other, both physically and emotionally, leading to a loss of joy. The song posits that "Majibu mazuri upalilia upendo" (Good responses cultivate love), underscoring the importance of positive interaction and gentle words in nurturing the marital relationship. The existence of an official video accompanying the song likely serves to visually enhance these messages, bringing the practical and spiritual guidance to life for viewers, further solidifying the song's role as an informative and inspirational guide for couples navigating marriage.

Zabron Singers Songs

Related Songs