Ali Mukhwana - Uniongoze Lyrics

Contents:

Uniongoze Lyrics

Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu

Wewe uliye nihesabia haki
Ukanipa uzima wako kutoka juu
Mungu wa mababu zangu
Tena mungu wa eliya
Tuna Imani na wewe
Tunakutazamia wewe
Ninachotaka mimi, uniongoze

Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu

Usipo tuongoza bwana
Ni nani atatuongoza
Mungu muumba mbingu na nchi
Ni wewe Baba yangu
Nishike mkono wangu bwana
Uniongoze Jehowah
Bwana mungu wangu wangu, uniongoze

Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu

Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana, sitayaweza
Uniongoze, uniongoze
Bila wewe bwana
Mimi si kitu


Ali Mukhwana Songs

Related Songs