Ali Mukhwana - Uniongoze Lyrics

Album: Uniongoze - Single
Released: 21 Mar 2021
iTunes Amazon Music

Lyrics

Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu

Wewe uliye nihesabia haki Ukanipa uzima wako kutoka juu Mungu wa mababu zangu Tena mungu wa eliya Tuna Imani na wewe Tunakutazamia wewe Ninachotaka mimi, uniongoze

Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu

Usipo tuongoza bwana Ni nani atatuongoza Mungu muumba mbingu na nchi Ni wewe Baba yangu Nishike mkono wangu bwana Uniongoze Jehowah Bwana mungu wangu wangu, uniongoze

Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu

Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu

Video

Ali Mukhwana - Uniongoze (Official Lyric Video)

Thumbnail for Uniongoze video
Loading...
In Queue
View Lyrics