Ali Mukhwana - Uniongoze Lyrics
Lyrics
Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu
Wewe uliye nihesabia haki Ukanipa uzima wako kutoka juu Mungu wa mababu zangu Tena mungu wa eliya Tuna Imani na wewe Tunakutazamia wewe Ninachotaka mimi, uniongoze
Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu
Usipo tuongoza bwana Ni nani atatuongoza Mungu muumba mbingu na nchi Ni wewe Baba yangu Nishike mkono wangu bwana Uniongoze Jehowah Bwana mungu wangu wangu, uniongoze
Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu
Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana, sitayaweza Uniongoze, uniongoze Bila wewe bwana Mimi si kitu
Video
Ali Mukhwana - Uniongoze (Official Lyric Video)