Ali Mukhwana - Msalaba Lyrics
Lyrics
Yesu uzima wangu bwana Mfariji wangu kiongozi wangu
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Oooh Yesu sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara Mti wake sitaukemea Ni neno imara
Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara Mti wake sitaukemea Ni neno imara
Sioni haya kwa Bwana Kwake nitang'ara Mti wake sitaukana Ni neno imara
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Bwana wangu, Mungu wangu Ndilo jina lake Sitakana kulisifu Ni yeye muumba wangu
Bwana wangu, Mungu wangu Ndilo jina lake Sitakana kulisifu Ni yeye muumba wangu
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Msalaba ndio asili ya mema Nitautua mzigo wako Nina uzima furaha daima Njooni tufurahi kwako
Video
Ali Mukhwana - Msalaba | Watakusema Album