Ruth Matete - Eloi Eloi Lyrics

Lyrics

All my life sijaona mwaminifu akikosa mkate All my life sijaona mwaminifu akikosa mkate Hai nimechoka na vicheko, hai nimechoka na dharau Sitojali hata jirani akipata kuniliko Baba niokoe, Baba nishikilie, Baba nisaidie, Baba nakuhitaji

Ni wako ni wako, nakwitaji ii Ni wako ni wako, usiniache Eloi Elohi lamasabakitani Eloi Elohi lamasabakitani

Najiuliza kwa nini wateule twapitia majanga Leo hii ni mimi kesho ni yule Ninaomba bila kuchoka, situation bado ni same Eloooi lamasabakitani, nakungojea Baba Sema nami niko hapa, sema nami sibanduki kamwe

Ni wako ni wako, nakwitaji ii Ni wako ni wako, usiniache Eloi Elohi lamasabakitani Eloi Elohi lamasabakitani

Uooh usiniache Baba aah, Usiniach nanaa nanaah Ni wako ni wako, nakwitaji ii Ni wako ni wako, usiniache Eloi Elohi lamasabakitani Eloi Elohi lamasabakitani

Unikumbuke Baba usiniwache Mimi wako Baba ninaomba Eloi Eloi ...

Video

Ruth Matete - Eloi Eloi

Thumbnail for Eloi Eloi  video
Loading...
In Queue
View Lyrics