Zabron Singers - NIMEBAKI NA AMANI Lyrics

Lyrics

Mungu umenipa nafasi nyingine tena 

Nafasi ya kushukuru 

Ule wema upendo wako 

Naomba uzima hekima yako 

Ata nisijivune maana wewe mtenda yote

Ata yale yamepita utaniongoza

Nimebaki na amani

Na umeniweka pazuri ninakushukuru

Baba wa mbinguni



Pamoja na shida zangu zote

Najua uko nami

Na niwe sehemu yako

Naomba baraka zako zije

Zifike na unyenyekevu

Kama Mungu huishivyo

Wanipenda haujawainiacha 

Kuna muda sivumilii

Bado Mungu wangu wanipendaa

Wewe ni sababu ya mimi kuishi

Ata hapa niko na wewe

Umenivusha kwa mambo mengi


Mungu hufanya mambo makubwa kwangu

Nisiyoyajua,kusimama na mimi usiku mchanaa

Ata nikatafuta kumwambia na sikumpata

Nikakuona wewe Mungu mwenye upendo

Mungu wewe una siri kubwa nisiyoyajua 

Umenipigania usiku mchana

Haya mafanikio haya yakaja umekuwa na mimi

Hujaacha nishindwe

Sifa sikurudiee 


Pamoja na shida zangu zote

Najua uko nami

Na niwe sehemu yako

Naomba baraka zako zije

Zifike na unyenyekevu

Kama Mungu huishivyo

Wanipenda haujawainiacha 

Kuna muda sivumilii

Bado Mungu wangu wanipendaa

Wewe ni sababu ya mimi kuishi

Ata hapa niko na wewe

Umenivusha kwa mambo mengi

 









Video

VICTORIA ZABRON - NIMEBAKI NA AMANI (Official video)

Thumbnail for NIMEBAKI NA AMANI video
Loading...
In Queue
View Lyrics