Zabron Singers - NIMEBAKI NA AMANI Lyrics

NIMEBAKI NA AMANI Lyrics

Mungu umenipa nafasi nyingine tena 
Nafasi ya kushukuru 
Ule wema upendo wako 
Naomba uzima hekima yako 
Ata nisijivune maana wewe mtenda yote
Ata yale yamepita utaniongoza
Nimebaki na amani
Na umeniweka pazuri ninakushukuru
Baba wa mbinguni



Pamoja na shida zangu zote
Najua uko nami
Na niwe sehemu yako
Naomba baraka zako zije
Zifike na unyenyekevu
Kama Mungu huishivyo
Wanipenda haujawainiacha 
Kuna muda sivumilii
Bado Mungu wangu wanipendaa
Wewe ni sababu ya mimi kuishi
Ata hapa niko na wewe
Umenivusha kwa mambo mengi

Mungu hufanya mambo makubwa kwangu
Nisiyoyajua,kusimama na mimi usiku mchanaa
Ata nikatafuta kumwambia na sikumpata
Nikakuona wewe Mungu mwenye upendo
Mungu wewe una siri kubwa nisiyoyajua 
Umenipigania usiku mchana
Haya mafanikio haya yakaja umekuwa na mimi
Hujaacha nishindwe
Sifa sikurudiee 

Pamoja na shida zangu zote
Najua uko nami
Na niwe sehemu yako
Naomba baraka zako zije
Zifike na unyenyekevu
Kama Mungu huishivyo
Wanipenda haujawainiacha 
Kuna muda sivumilii
Bado Mungu wangu wanipendaa
Wewe ni sababu ya mimi kuishi
Ata hapa niko na wewe
Umenivusha kwa mambo mengi
 










NIMEBAKI NA AMANI Video

Zabron Singers Songs

Related Songs