Israel Mbonyi - Nitaamini Lyrics

Lyrics

Verse: 
Sasa naapa Hakuna miungu ntaamini 
Satajitia unajisi , Chakula cha ufalme 
Na Sitauza urithi wa wokovu, anasa za Kisasa
NiNa uhakika waweza , waweza kuniponya, 
Hata usipo niponya Sitaabudu Masanamu

Chorus: 
Naelewa maji na moto nitapita, Kwenye uvuli wa mauti
Nina wewe sitaogopa kamwe 
Mungu wangu wanishika mkono,Wautuliza moyo wangu, 
Si na mashaka wanibeba mgongoni 
Waweza tuma neno la uzima, libadishe yote
Hata usiyafanye hayo yoote 
Bado nitaamini

Verse: 
Si Mara y’a kwanza kunitowa katika magumu 
Ni na ushuhuda zaidi ya moja, We ni mwaminifu 
Ni na historia maalum,We ni chemchemi ya uzima.

Outro: 
Nitaamini, bado nitaamini 
Ukiniponya nitaamini, Hata usiniponye bado nitaamini 
Ukinijibu nitaamini , Hata usinijibu bado nitaamini 
Ukibadilisha nitaamini , Hata usibadilishe bado nitaamini
Kwenye uvuli wa mauti bado nitaamini 
Nina ushuhuda, wewe ni mwaminifu

Video

Israel Mbonyi - Nitaamini

Thumbnail for Nitaamini video

Meaning & Inspiration

Israel Mbonyi has captured a rare, gritty kind of faith in Nitaamini, a song that strips away the prosperity-gospel veneer often found in modern worship. When he sings that he will not worship idols even if God does not heal him, he echoes the courage of Shadrach, Meshach, and Abednego in Daniel 3:18. Those young men stood before a furnace and declared that while their God was able to save them, their devotion remained locked to His sovereignty rather than their personal safety. It is a refreshing shift from the typical "name it and claim it" culture. Mbonyi refuses to treat the Almighty like a cosmic vending machine that only warrants praise when the desired outcome is dispensed.

The lyrics cut straight to the core of what it means to be a disciple. By declaring he will not defile himself with the table of the world or sell his inheritance for modern pleasures, Mbonyi touches on the wisdom found in Proverbs 23:1-3, warning against the deceptive delicacies of the wicked. He recognizes that true peace comes from the Father holding his hand, not from the absence of hardship. Even when he walks through the valley of the shadow of death, his confidence is not in his own strength, but in the Shepherd described in Psalm 23. This is the definition of biblical hope—an expectation rooted in the character of God, not in the changing circumstances of the present hour.

He hits the nail on the head when he acknowledges the weight of his own history with the Lord. We often forget the previous deliverances, but he recalls them as a clear witness that God is the fountain of life. His commitment to keep believing whether God answers or stays silent displays a mature, unshakable trust. It is easy to shout praises when the seas part, but the true test happens when the waters rise and the dry path never appears. Mbonyi chooses to stand firm on the unchanging nature of the Creator, proving that true faith is not a reaction to our blessings, but a response to His worthiness alone.

Loading...
In Queue
View Lyrics