Martha Mutune - Nimehitaji Mwokozi Lyrics

Lyrics

Nimehitaji Mwokozi awe nami daima Nataka mkono wake kunizunguka sana Hofu rohoni sina, aniongoze tena Sitanung'nika tena, nikufuate daima

Nimehitaji mwokozi sina imani nyingi Atanifufua moyo wengine hawawezi Hofu rohoni sina, aniongoze tena Sitanung'nika tena, nikufuate daima

Nimehitaji mwokozi mwendoni mwa maisha Katika mateso mengi, tena katika vita Hofu rohoni sina, aniongoze tena Sitanung'nika tena, nikufuate daima

Nimehitaji mwokozi kiongozi njiani Kwa jicho aniongoze nifike mbinguni Hofu rohoni sina, aniongoze tena Sitanung'nika tena, nikufuate daima

Hofu rohoni sina, aniongoze tena Sitanung'nika tena, nikufuate daima

Video

NIMEHITAJI MWOKOZI by Martha Mutune

Thumbnail for Nimehitaji Mwokozi video
Loading...
In Queue
View Lyrics