Kamnjoro - Bariki Kenya Lyrics

Lyrics

Mwenyezi Mungu napiga magoti Nikiombea nchi yangu kenya Amani upendo na umoja, Kenya yetu amani tele ufisadi ubinafsi ukabila, adui zetu Kenya wanatutesa vijana wetu umewamalika, kweli shetani kaamulia Kenya

Ni wengi wametuacha, wengi wamelala salama wengi wanateseka, ee Mungu ilinde Kenya

Baba kuwa unatupenda, unatujali tena unatuwaza Hawa wachafu wanachafua Kenya Tumalizie daddy safisha Kenya Shetani hauna uwezo, kazi yako kuchanganya watu kuharibu na kumaliza, nakuamuru sasa uhame Kenya

Ni wengi wametuacha, wengi wamelala salama wengi wanateseka, ee Mungu ilinde Kenya

Na tena narudisha shukrani kwa viongozi Baba uliotupa Kwa kuwa mi tena ni wakuheshimu, Bariki kenya baba tufurahie Roho wa Mungu, Bariki kenya Daima kenya, amani tele Kupingana hatuna, sote ni wakenya Mliolala, laleni salama Mwenyezi Mungu, Bariki Kenya

Ni wengi wametuacha, wengi wamelala salama wengi wanateseka, ee Mungu ilinde Kenya Na tena narudisha shukrani kwa viongozi Baba uliotupa Kwa kuwa mi tena ni wakuheshimu, Bariki kenya baba tufurahie Roho wa Mungu, Bariki kenya amani tele, sote ni wakenya, laleni salama Mwenyezi Mungu, Bariki Kenya

Video

PST. NICHOLUS NGEI - Bariki Kenya (Official Video)

Thumbnail for Bariki Kenya video
Loading...
In Queue
View Lyrics