Sifa Lyrics

NIPE TANO by The Survivors Gospel Choir cover art

The Survivors Gospel Choir - NIPE TANO Lyrics

Artist:
The Survivors Gospel Choir

Lyrics

Baba nipe tano, Baba nipe tano, Baba nipe tano 


Niongezapo, nami nirudishe tano 


Baba nipe tano, Baba nipe tano 


Ukinipa tano, nitazalisha tano 


Nitarudisha tano 


Yaani ni hasara hiyo, ameiachilia talanta 


Yaani ni hasara hiyo, hataki kufanya kazi


Baba nipe mimi tano, nikufanyikie mfano 


Nikatumike kwa uaminifu, mbele yako 


Chibuko la urithi wako


Baba nipe tano, Baba nipe tano, Baba nipe tano 


Niongezapo, nami nirudishe tano 


Baba nipe tano, Baba nipe tano 


Ukinipa tano, nitazalisha tano 


Nitarudisha tano 


Nipe tano, tano nipatie 


Nikachakarike nazo 


Tano nipatie, nigongee tano 


Nipe tano, tano nipatie 


Nikachakarike nazo 


Tano nipatie, nigongee tano 


Ile moja ulonipa Baba, ile moja ul’onipa


Ile moja ul’onipa sikuifukia, niliizalisha Baba 


Sina ulegevu, Sina mchezo kazini


Sina masihara kwa longolongo, we nipe tu tano


Nipe tano, tano nipatie 


Nikachakarike nazo 


Tano nipatie, nigongee tano 


Nipe tano, tano nipatie 


Nikachakarike nazo 


Tano nipatie, nigongee tano 


Video