The Survivors Gospel Choir - NIPE TANO Lyrics

Lyrics

Baba nipe tano, Baba nipe tano, Baba nipe tano 

Niongezapo, nami nirudishe tano 

Baba nipe tano, Baba nipe tano 

Ukinipa tano, nitazalisha tano 

Nitarudisha tano 


Yaani ni hasara hiyo, ameiachilia talanta 

Yaani ni hasara hiyo, hataki kufanya kazi


Baba nipe mimi tano, nikufanyikie mfano 

Nikatumike kwa uaminifu, mbele yako 

Chibuko la urithi wako


Baba nipe tano, Baba nipe tano, Baba nipe tano 

Niongezapo, nami nirudishe tano 

Baba nipe tano, Baba nipe tano 

Ukinipa tano, nitazalisha tano 

Nitarudisha tano 




Nipe tano, tano nipatie 

Nikachakarike nazo 

Tano nipatie, nigongee tano 

Nipe tano, tano nipatie 

Nikachakarike nazo 

Tano nipatie, nigongee tano 


Ile moja ulonipa Baba, ile moja ul’onipa

Ile moja ul’onipa sikuifukia, niliizalisha Baba 

Sina ulegevu, Sina mchezo kazini

Sina masihara kwa longolongo, we nipe tu tano


Nipe tano, tano nipatie 

Nikachakarike nazo 

Tano nipatie, nigongee tano 

Nipe tano, tano nipatie 

Nikachakarike nazo 

Tano nipatie, nigongee tano 

Video

NIPE TANO- THE SURVIVORS GOSPEL CHOIR ( OFFICIAL MUSIC VIDEO)

Thumbnail for NIPE TANO video
Loading...
In Queue
View Lyrics