NIPE TANO Lyrics - The Survivors Gospel Choir

The Survivors Gospel Choir swahili

NIPE TANO Lyrics

Baba nipe tano, Baba nipe tano, Baba nipe tano 
Niongezapo, nami nirudishe tano 
Baba nipe tano, Baba nipe tano 
Ukinipa tano, nitazalisha tano 
Nitarudisha tano 

Yaani ni hasara hiyo, ameiachilia talanta 
Yaani ni hasara hiyo, hataki kufanya kazi

Baba nipe mimi tano, nikufanyikie mfano 
Nikatumike kwa uaminifu, mbele yako 
Chibuko la urithi wako

Baba nipe tano, Baba nipe tano, Baba nipe tano 
Niongezapo, nami nirudishe tano 
Baba nipe tano, Baba nipe tano 
Ukinipa tano, nitazalisha tano 
Nitarudisha tano 



Nipe tano, tano nipatie 
Nikachakarike nazo 
Tano nipatie, nigongee tano 
Nipe tano, tano nipatie 
Nikachakarike nazo 
Tano nipatie, nigongee tano 

Ile moja ulonipa Baba, ile moja ul’onipa
Ile moja ul’onipa sikuifukia, niliizalisha Baba 
Sina ulegevu, Sina mchezo kazini
Sina masihara kwa longolongo, we nipe tu tano

Nipe tano, tano nipatie 
Nikachakarike nazo 
Tano nipatie, nigongee tano 
Nipe tano, tano nipatie 
Nikachakarike nazo 
Tano nipatie, nigongee tano 


NIPE TANO Video