Abiudi Misholi - Mahali Pa Raha Lyrics
Lyrics
Mahali pa raha ya moyo wapi? Anikingiaye mabaya ndani. Dunia haina makimbilio Nisposhindwa na makosa yangu
Sipo sipo hapa sipo Mbinguni ni ngome ya raha yangu.
Iache dunia ione kombe Unapofurahishwa moyo wapi Ni yerusalemu pazuri inapojengwa Na mawe mazuri ya dhahabu
Ndipo ndipo, ndipo ngome ya makimbilio ya moyo wangu
Angani mwa Yesu ni raha ajabu Hakuna makosa na shida Huko Vinubi sauti na nyimbo nzuri
Raha raha raha tamu Mbinguni kwa Yesu naitamani
Video
Mahali Pa Raha