Abiudi Misholi - Mahali Pa Raha Lyrics

Lyrics

Mahali pa raha ya moyo wapi? Anikingiaye mabaya ndani. Dunia haina makimbilio Nisposhindwa na makosa yangu

Sipo sipo hapa sipo Mbinguni ni ngome ya raha yangu.

Iache dunia ione kombe Unapofurahishwa moyo wapi Ni yerusalemu pazuri inapojengwa Na mawe mazuri ya dhahabu

Ndipo ndipo, ndipo ngome ya makimbilio ya moyo wangu

Angani mwa Yesu ni raha ajabu Hakuna makosa na shida Huko Vinubi sauti na nyimbo nzuri

Raha raha raha tamu Mbinguni kwa Yesu naitamani

Video

Mahali Pa Raha

Thumbnail for Mahali Pa Raha video
Loading...
In Queue
View Lyrics