Abiudi Misholi - Nimemuona Bwana Lyrics

Nimemuona Bwana Lyrics



Nimemuona Bwana (Nimemuona Bwana) 
Nimemuona Bwana (Nimemuona Bwana) 
Nimemuona akinitendea (Nimemuona Bwana) 
Nimemuona akinilinda (Nimemuona Bwana) 
Nimemuona akiniponya (Nimemuona Bwana) 
Akinifuta machozi (Nimemuona Bwana) 
Akiondoa aibu yangu (Nimemuona Bwana) 
Akinivika heshima (Nimemuona Bwana) 

Nilikuwa na shida, nilikuwa na mateso 
Moyo wangu uliumia, moyo wangu ulichoka 
Bwana Yesu akaja akanishika mkono 
Neema yake nimepata leo nimejaa amani 
Nimemuona Baba nimemuona Bwana 
Nimemuona Yesu yeye yeyee 

Mama usikate tamaa, baba usikate tamaa 
Kwa yale unayapitia wala usifadhaike 
Yuko Mungu akuona Yuko Mungu akutazama 
Utamuona yeyee utamuona leo 

Utamuona Bwana (Utamuona Bwana) 
Utamuona Bwana (Utamuona Bwana) 
Utamuona akikutendea (Utamuona Bwana) 
Utamuona akikulinda (Utamuona Bwana) 
Utamuona akikuponya (Utamuona Bwana) 
Akikufuta machozi (Utamuona Bwana) 
Akiondoa aibu yako (Utamuona Bwana) 
Akikuvika heshima (Utamuona Bwana) 

Leo ni siku yako ya kukutana na Baba 
Macho ya MUngu yawe nawe 
Fungua moyo umuone 
Nyosha mikono umtazame 
Piga magoti umlilie ...


Nimemuona Bwana Video

Abiudi Misholi Songs

Related Songs