Derick Marton - Peke Yako Lyrics

Lyrics

Nanyoosha mikono yangu juu! Nanyoosha mikono yangu juu!

Nanyoosha mikono yangu juu Kukusifu na kukuabudu Nanyoosha mikono yangu juu Kukusifu Mungu wa miungu

Uwezo wako, matendo yako  Ni dhahiri juu ya ukuu wako  Neema yako, rehema zako  Ninajua ni sababu ya pendo lako 

Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili  Kanuni zako hakuna wa kubadili  Unafanya mchana,usiku, alfajiri  Jina lako ni Niko ambaye Niko 

Wewe ni Mkuu wa kusifiwa  Kuabudiwa ni wewe  Wewe Uko juu umeinuliwa  Wa kushangiliwa ni wewe

Wewe ni Mkuu wa kusifiwa  Kuabudiwa ni wewe  Wewe Uko juu umeinuliwa  Wa kushangiliwa ni wewe

Haulinganishwi haufanishwi  Na chochote “ehhe eeh”   Jehova Nissi  Mimi bila wewe si lolote 

Haulinganishwi haufanishwi  Na chochote “ehhe eeh”   Jehova Nissi  Mimi bila wewe si lolote 

Watawala milele watawala milele  Watawala milele peke yako oh Unadumu milele unadumu milele  Unadumu milele peke yako oh

Wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe  Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe  Wewe ni mkuu wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe  Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe

Wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe  Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe  Wewe ni mkuu wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe  Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe

Nani kama wewe eeh  Nani kama wewe baba nani kama wewe Nani kama wewe eeh  Nani kama wewe baba nani kama wewe

Wewe ni Mkuu wa kusifiwa  Kuabudiwa ni wewe  Wewe Uko juu umeinuliwa  Wa kushangiliwa ni wewe

Wewe ni Mkuu wa kusifiwa  Kuabudiwa ni wewe  Wewe Uko juu umeinuliwa  Wa kushangiliwa ni wewe

Watawala milele  Watawala milele peke yako oh Unadumu milele, unadumu milele Unadumu milele peke yako oh

Video

DERICK MARTON - PEKE YAKO (Official Music Video)

Thumbnail for Peke Yako video
Loading...
In Queue
View Lyrics