Derick Marton - Peke Yako Lyrics
Lyrics
Nanyoosha mikono yangu juu! Nanyoosha mikono yangu juu!
Nanyoosha mikono yangu juu Kukusifu na kukuabudu Nanyoosha mikono yangu juu Kukusifu Mungu wa miungu
Uwezo wako, matendo yako Ni dhahiri juu ya ukuu wako Neema yako, rehema zako Ninajua ni sababu ya pendo lako
Wewe ni Mungu wa wote wenye mwili Kanuni zako hakuna wa kubadili Unafanya mchana,usiku, alfajiri Jina lako ni Niko ambaye Niko
Wewe ni Mkuu wa kusifiwa Kuabudiwa ni wewe Wewe Uko juu umeinuliwa Wa kushangiliwa ni wewe
Wewe ni Mkuu wa kusifiwa Kuabudiwa ni wewe Wewe Uko juu umeinuliwa Wa kushangiliwa ni wewe
Haulinganishwi haufanishwi Na chochote “ehhe eeh” Jehova Nissi Mimi bila wewe si lolote
Haulinganishwi haufanishwi Na chochote “ehhe eeh” Jehova Nissi Mimi bila wewe si lolote
Watawala milele watawala milele Watawala milele peke yako oh Unadumu milele unadumu milele Unadumu milele peke yako oh
Wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe Wewe ni mkuu wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe
Wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe Wewe ni mkuu wa kusifiwa wa kuabudiwa ni wewe Wewe uko juu umeinuliwa wa kushangiliwa ni wewe
Nani kama wewe eeh Nani kama wewe baba nani kama wewe Nani kama wewe eeh Nani kama wewe baba nani kama wewe
Wewe ni Mkuu wa kusifiwa Kuabudiwa ni wewe Wewe Uko juu umeinuliwa Wa kushangiliwa ni wewe
Wewe ni Mkuu wa kusifiwa Kuabudiwa ni wewe Wewe Uko juu umeinuliwa Wa kushangiliwa ni wewe
Watawala milele Watawala milele peke yako oh Unadumu milele, unadumu milele Unadumu milele peke yako oh
Video
DERICK MARTON - PEKE YAKO (Official Music Video)