Joel Lwaga - Moja Lyrics
Lyrics
Here are the lyrics for "MOJA" by Moses Luka and Joel Lwaga as they appear in the video:
[Verse 1: Moses Luka] Nimezunguka sana Ila Mungu kama wewe sijaona Na naridhia bana Hata walimwengu wakinicheka Eti kisa nimekuchagua Mimi siri yangu naijua Wananiita majina majina Ila mimi kwako ndio nimefika
[Pre-Chorus] Hata nikipewa nafasi ya kuchagua tena Nitakuchagua wewe Moyo wangu na nafsi Umevishikilia mimi naridhika na wewe Upendo wako wa dhati hata wasiokupenda Unawabariki wewe Hata nikipewa kamusi Haiwezi kumaliza kukusifia wewe
[Chorus] You are my number one Eh-yeah Wewe ni namba moja Eh-yeah You are my number one Wewe ni namba moja
[Verse 2: Joel Lwaga] Pale umenitoa hawawezi nielewa hawa Yale umenitendea nashindwa simulia sana Acha wanione mjinga ni sawa Wakitupa maneno, neno lako dawa Siyumbishwi kama upepo na ngalawa Oooh Lord, kwako nimejificha we ndo strong tower Umenibeba mi napaa na zako mbawa Sa kwingine nitafute nini labda balaa
[Pre-Chorus] Hata nikipewa nafasi ya kuchagua tena Nitakuchagua wewe Moyo wangu na nafsi Umevishikilia mimi naridhika na wewe Upendo wako wa dhati hata wasiokupenda Unawabariki wewe Hata nikipewa kamusi Haiwezi kumaliza kukusifia wewe
[Chorus] You are my number one Eh-yeah Wewe ni namba moja Eh-yeah You are my number one Wewe ni namba moja
You are my number one Eh-yeah Wewe ni namba moja
Video
Moses Luka, Joel Lwaga - Moja