Sifa Lyrics

Sifa na Utukufu by Eunia Simbagoye cover art

Eunia Simbagoye - Sifa na Utukufu Lyrics

Artist:
Eunia Simbagoye

Lyrics

Sifa sifa sifa
Na utukufu ni vyako
Sifa sifa sifa
Na utukufu ni vyako


Bwana ni mwokozi wangu
Bwana ni nuruu yangu
Bwana Jehova jile
Mimi ninakupenda


Sifa sifa sifa
Na utukufu ni vyako
Sifa sifa sifa
Na utukufu ni vyako


Mimi ninakumbuka
Upendo wako wa ajabu
Urimtowa mwana wako wapekee
Kuja kuniokowa
Sitachoka kukuimbia
Mpaka siku ya mwisho
Yesu nikuone
Mungu wa Nazareth


Sifa sifa sifa (sifa zako baba)
Na utukufu ni vyako(yesu)
Sifa sifa sifa (sifa zako Yesu)
Na utukufu ni vyako


Sifa sifa sifa( uuu sifa zako Yesu)
Na utukufu ni vyako
(oh)Sifa sifa sifa (sifa zako Yesu)
Na utukufu ni vyako


Tutaimba tutacheza tuki muona yesu
Tukimuona alie tufia msalaba
Tutaimba tutacheza tukimuona yesu
Mataifa nayo yatakusanyika,
Tutimba( wa china) tutacheza ( Australia,) tukimuona Yesu ( Tanzania Burundi na Rwanda)
Tutaimba (tutakusanyika) tutacheza (tukiimba) tukimuona Yesu
Ooh tutaimba!
Tutaimba (uuuu) tutacheza tukimuona yesu
Ooh tutaimba
Tutaimba (tutacheza) tutacheza (hallelujah)tukimuona yesu
(Oh tutaimba)Tutaimba ( imba imba imba) tutacheza (tutacheza)tukimuona yesu
(Oh tutacheza ) tutaimba “ oh” tutacheza tutacheza tukimuona Yesu


Video