Roho wako Mwenyezi amenifanya jinsi nilivyo
Pumzi yako uhai wangu umefufua mifupa mikavu
Uhai umenipa Baba Yangu,
Umetuliza dhoruba wakati wa mawimbi
Moyo wangu na ukuinue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Moyo wangu naaah ukuinue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Egemeo Baba yangu umbali huu ninashukuru
Mwambaa aah, dunia mbingu ni mashahidi
Umbali huu ni dhahiri ni wewe Bwana wa mabwana
Kwa makubwa na madogo ni wewe Bwana wa mabwana
Moyo wangu na ukuinue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Moyo wangu naaah ukuinue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Moyo wangu na ukuinue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Moyo wangu naaah ukuinue kila wakati
Nafsi yangu ikuhimidi kila saa
Ninakuinua inua aah
Umetenda mema mema Bwana
Ni wewe wewe ni Jehovah Shammah
Ni wewe wewe ni Jehovah Jireh
Na bado wazidi kuwa yule Mungu umekuwa
Shammah we ni Jehovah Jireh
Write a review of Egemeo - Moyo Wangu Na Ukuinue Kila Wakati:
I am much moved and blessed with such a sweet worship song..
May the Almighty God bless and uplift you and everyone who listens to this song
Shalom 4 months ago
This song is such a blessing to me..
Perfect voice
6 months ago
Awesome Song, Awesome Lyrics, Awesome Artist, Perfect song arrangment!! 100% 6 months ago
I'm blessed with the song 10 months ago
Awesome lyrics I like it 10 months ago
Awesome song! Indeed the Spirit of God is our dwelling place. Thanks for posting the lyrics 10 months ago
God bless you abundantly 11 months ago
I will give you praise, O Lord my God, with all my heart; I will give glory to your name for ever.
Psalms 145 : 2Every day will I give you blessing, praising your name for ever and ever.
Psalms 146 : 2While I have breath I will give praise to the Lord: I will make melody to my God while I have my being.