Lyrics
Adui aliomba anisiagasiage,
anisiagasiage kama ngano
Lakini Yesu aliomba
Mimi nisimame, mimi nisimame
Kwa wema wake
Adui aliitisha anisiagasiage,
Tena anipepete kama ngano
Lakini Yesu akasimama
Mimi nisimame, mimi nisimame
Kwa wema wake
Ndio leo nimesimama
Nimesimama, kwa rehema na neema yake
Ile gharama, ya uhai wangu
Yesu amelipa yote eeeh!
Mimi sitokofu sitozimia aah!
Nitasimama kwa wema wake
Mimi sitokofu sitozimia aah!
Nitasimama kwa wema wake
Nilipokaribia kitini cha enzi
Shetani alisema ni mchafu, huyu hafai
Yesu akasimama, akasema ona
Nimelipa gharama yake
(repeat *2)
Nimesimama, kwa rehema na neema yake
Ile gharama, ya uhai wangu
Yesu amelipa yote eeeh!
Mimi sitokofu sitozimia aah!
Nitasimama kwa wema wake
Mimi sitokofu sitozimia aah!
Nitasimama kwa wema wake
Adui alinizika, akasema nimeisha
Sitoonekana tena kamwe
Yesu alipofika, akaniita
Akaniita, akanipa uhai wake
Nimesimama, kwa rehema na neema yake
Ile gharama, ya uhai wangu
Yesu amelipa yote eeeh!
Mimi sitokofu sitozimia aah!
Nitasimama kwa wema wake
Mimi sitokofu sitozimia aah!
Nitasimama kwa wema wake
Shetani alete vita
Mimi sitokofu sitozimia aah!
Nitasimama kwa wema wake
...