Ali Mukhwana - Ni Salama Lyrics

Album: Utukufu Na Heshima
Released: 26 Oct 2022
iTunes Amazon Music

Lyrics

Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu

Nionapo amani kama shwari au nionapo shida Kwa hali zote bwana amenijulisha Ni salama moyoni mwangu Nionapo amani kama shwari au nionapo shida Kwa hali zote bwana amenijulisha Ni salama moyoni mwangu

Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu

Ingawa shetani  atanitesa nitajipa moyo kwani mimi Kristo ameona, ameona unyonge wangu Amekufa kwa roho yangu Ingawa shetani  atanitesa nitajipa moyo kwani mimi Kristo ameona, ameona unyonge wangu Amekufa kwa roho yangu

Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu

Dhambi zangu zote wala si nusu Zimewekwa msalabani Wala sichuhui dhana yake Ni salama Moyoni mwangu Dhambi zangu zote wala si nusu Zimewekwa msalabani Wala sichuhui dhana yake Ni salama Moyoni mwangu

Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu

Eeh bwana himiza siku yako ya kuja Parapanda itakapo ooh, ooh lia Utakapo shuka mimi sitaogopa Ni salama Moyoni mwangu Eeh bwana himiza siku yako ya kuja Parapanda itakapo ooh, ooh lia Utakapo shuka mimi sitaogopa Ni salama Moyoni mwangu

Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu Ni salama, ni salama, ni salama Moyoni mwangu

Video

Ali Mukhwana - Ni Salama (Lyric Video)

Thumbnail for Ni Salama video
Loading...
In Queue
View Lyrics