Nadia Mukami - Jipe Lyrics
Lyrics
Kamoyo kangu kachoyo Ila kwako nimetulia Nairobi mpaka bagamoyo Anataka kunichumbia
Sasa nalishwa, navishwa Naogeshwaaaa aaah Tena nalindwa napendwa Yule si wa kuficha aaah
Picha kule kule Watapata taabu saaana Macho mbele mbele Ananipenda saanaa aaah
Hakuna pingamizi kwetu Hakuna madrama huku kwetu Hatuna maneno huku kwetu Tunapendana kikwetu
Aka kamoyo kangu nijipe (Nijipe) Ukinipenda sana nijipe (Nijipe) Aka kamoyo kangu nijipe (Nijipe) Ukinipenda sana nijipe (Nijipe)
Mi mwenzako nawezaga kupenda sikatai (Kweli) Uh ndo nishazama usinipige kipapai honey Mi hapo kwako nishabwaga moyo usiulaghai (Kweli) Uh ndo ushakwama unachotaka sikatai honey
Najua bado huamini haya yamekua (Yamekua ehh) Acha siamini
Si Hakuna pingamizi kwetu Hakuna madrama huku kwetu Hatuna maneno huku kwetu Tunapendana kivyetu
Aka kamoyo kangu nijipe (Nijipe) Ukinipenda sana nijipe (Nijipe) Aka kamoyo kangu nijipe (Nijipe) Ukinipenda sana nijipe (Nijipe)
Mapenzi malove nawe Iwe shida au raha nitaponda nawe Nataka kapicha nawe Kumbusho pale tumetoka nawee
Siamini leo ni mimi nawe (uuuuuh mama) Ni mimi na wewe Hizi pesa nitafute nawe (Uuuuuuh mama) Nitafute na wewe
Lemme call you my dear This love is real not bandia If I love you hutakimbia Coz my love is real not bandia
Si Hakuna pingamizi kwetu Hakuna madrama huku kwetu Hatuna maneno huku kwetu Tunapendana kivyetu
Aka kamoyo kangu nijipe (Nijipe) Ukinipenda sana nijipe (Nijipe) Aka kamoyo kangu nijipe (Nijipe) Ukinipenda sana nijipe (Nijipe)
Video
Nadia Mukami ft Marioo - Jipe (Official Music Video) Skiza Dial *811*176#