Ali Mukhwana - Wewe Ndiwe Lyrics
Lyrics
Niwe, niwe kiongozi wangu Niwe, niwe kiongozi wangu Wewe niwe kiongozi wangu Wewe niwe mlinzi wangu
Rabana nikulipe nini Kwa yale yote unayonitendea Unayoitendea
Umenipa uwezo wa kuona siku nyingine Umenipa neema mbele ya wanadamu Mbele zako wewe niwe
Wewe niwe, kiongozi wangu Wewe niwe mlinzi wangu Mlinzi wangu daima ni wewe Kiongozi wangu baba, mlim=nzi wangu Tegemeo la moyo ni wewe yea yeah bwana
Jehovah Nissi, -- sema Tegemeo la moyo wangu
Wewe niwe, kiongozi wangu Wewe niwe mlinzi wangu
Hao watesi wanaokusumbua Usilie hautawai waona tena Wanaokuhangaisha kila siku Usilie yuko bwana
Wewe niwe, kiongozi wangu Wewe niwe mlinzi wangu Wakati wa majaribu Wakati wa shida
Niwe, niwe, kiongozi wangu Niwe, niwe, kiongozi wangu
Video
Ali Mukhwana - Wewe Ndiwe | Watakusema Album