Umeniosha Bwana
kwa damu yako
Umeniosha Bwana
Kwa damu yako
Umeniosha Bwana
Kwa damu yako
Nasikia kuitwa
Na sauti yako
Nikasafiwe kwa damu
Ya kuangikwa kwako
Nimesogea mtini pako
Unisafi kwa damu
Ya kuangikwa kwako
Write a review/comment/correct the lyrics of Umeniosha:
Umenibariki sana 10 months ago
waau i love this song. it really touches my heart.
1 year ago