(Nikawaona Wafu wakubwa kwa wadogo wamesimama mbele ya hicho kiti cha enzi Na vitabu vikafungululiwa,na kitabu kingine kikafunguliwa ambacho ni cha uzima,na hao wafu wakahukumiwa katika mambo hayo yaliliyoandikwa katika vile Vitabu sawasawa na matendo yao.Na iwapo mtu yeyote hakuonekana aeandikwa katika Kitabu cha Uzima,alitupwa katika ziwa la Moto)
Jina langu liko kule(Rudia) Mbinguni
Najua liko kule(x3) Mbinguni
Kwa maana jinsi hii Mungu alitupenda
Hata akamntoa Mwanawee
Kila amwaminiye asije kupotea bali awe na uzima milele
Nimemkiri Yesu kuwa ni Bwana wangu
Nakuamini Moyoni mwangu,ya kuwa Mungu Baba alimfufua Yesu na sasa yuko hai milele
Jina langu liko kule(Rudia) Mbinguni
Najua liko kule(Rudia) Mbinguni