Kwa Mji Wa Mwangaza Lyrics - Godwin Ombeni

Godwin Ombeni swahili

Kwa Mji Wa Mwangaza Lyrics

Kwa mji wa mwangaza hapana usiku, 
hautapita tena, hapana usiku 

Mungu atayafuta machozi na hasara hapo 
miaka itakoma hapana usiku 2

Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru
na taa yake ni mwana kondoo..

Jua halitakiwi hapana usiku ...
Yesu ndiye nuru kweli hapana usiku uuuh... 

Mungu atayafuta machozi na hasara 
hapo miaka itakoma hapana usiku 

kwa mji wa mbinguni
hapana usiku,
Milele furahini, hapana usiku
 
 Mungu atayafuta machozi na hasara, 
 hapo miaka itakoma hapana usiku (x3)

Kwa mji wa mwangaza hapana usiku, 
hautapita tena, hapana usiku