Kwa mji wa mwangaza hapana usiku,
hautapita tena, hapana usiku
Mungu atayafuta machozi na hasara hapo
miaka itakoma hapana usiku 2
Na mji ule hauhitaji jua wala mwezi kuuangaza kwa maana utukufu wa Mungu huutia nuru
na taa yake ni mwana kondoo..
Jua halitakiwi hapana usiku ...
Yesu ndiye nuru kweli hapana usiku uuuh...
Mungu atayafuta machozi na hasara
hapo miaka itakoma hapana usiku
kwa mji wa mbinguni
hapana usiku,
Milele furahini, hapana usiku
Mungu atayafuta machozi na hasara,
hapo miaka itakoma hapana usiku (x3)
Kwa mji wa mwangaza hapana usiku,
hautapita tena, hapana usiku
Write a review/comment/correct the lyrics of Kwa Mji Wa Mwangaza:
Nimebarikiwa na wimbo.Mungu ambariki mtumishi Godwin Ombeni 1 year ago
This song is amazing... can't think of a better way to express the love of God 1 year ago
mbarikiwe 1 year ago