Tom Randa - Pale Msalabani Lyrics

Lyrics

Artist:

Title: _ _ _ _ _ _ _ _ _

Lyrics: _ _ _ _ _ _ _ _ _

Kuna pahali pazuri pa neema
Hapo tunapata toba toka kwake
Upendo Wake Bwana kwetu sisi wenye Dhambi

Pale msalabani tunaokolewa, tunatakaswa Haleluya
Dhambi zetu zote, zinasamehewa
Asante Yesu Bwana

Kuna pahali pazuri pa ukombozi
Hapo tunapata toba toka kwake
Upendo Wake Bwana kwetu sisi wenye Dhambi

Pale msalabani
Yesu wangu
Kaangikwa
Dhambi zangu
Zaoshwa na
Yesu
Natakaswa

Video

Pale Msalabani - Tom Randa

Thumbnail for Pale Msalabani video
Loading...
In Queue
View Lyrics