Tom Randa - Pale Msalabani Lyrics

Lyrics

         Artist: 

         Title: _ _ _ _ _ _ _ _ _ 

         Lyrics: _ _ _ _ _ _ _ _ _ 

Kuna pahali pazuri pa neema Hapo tunapata toba toka kwake Upendo Wake Bwana kwetu sisi wenye Dhambi

Pale msalabani tunaokolewa, tunatakaswa Haleluya Dhambi zetu zote, zinasamehewa Asante Yesu Bwana

Kuna pahali pazuri pa ukombozi Hapo tunapata toba toka kwake Upendo Wake Bwana kwetu sisi wenye Dhambi

Pale msalabani Yesu wangu Kaangikwa Dhambi zangu Zaoshwa na Yesu Natakaswa

Video

Pale Msalabani - Tom Randa

Thumbnail for Pale Msalabani video
Loading...
In Queue
View Lyrics