Tom Randa - Pale Msalabani Lyrics
Lyrics
Artist:
Title: _ _ _ _ _ _ _ _ _
Lyrics: _ _ _ _ _ _ _ _ _
Kuna pahali pazuri pa neema Hapo tunapata toba toka kwake Upendo Wake Bwana kwetu sisi wenye Dhambi
Pale msalabani tunaokolewa, tunatakaswa Haleluya Dhambi zetu zote, zinasamehewa Asante Yesu Bwana
Kuna pahali pazuri pa ukombozi Hapo tunapata toba toka kwake Upendo Wake Bwana kwetu sisi wenye Dhambi
Pale msalabani Yesu wangu Kaangikwa Dhambi zangu Zaoshwa na Yesu Natakaswa
Video
Pale Msalabani - Tom Randa