Pombe ina madhara
Pombe ina madhara
Pombe ina madhara
Pombe ina madhara
Pombe ina matatizo
Pombe ina madhara
Pombe inaleta mziba
Pombe ina madhara
Pombe imesaaisha familia kutengana wee
Pombe ina madhara
Pombe imesaaisha mume kufutwa kazi wee
Pombe ina madhara
Pombe ina madhara
Pombe ina magonjwa
Pombe ina matatizo
Pombe ina madhara
Heshima yako imeshuka
Siku hizi hueleweki
Watoto wanalia njaa
Baba ameshinda clabuni
Mwenye nyumba anadai kodi baba haonekani
Watoto wanalia njaa
Baba amelala mtaroni
Nyumani majukumu mama amelemewa
Kabeba sukuma kichwani,mabega amelegea
Akirudi nguo imechanika chakarachakara
Baba akirudi nyumbani amelewa chakarichakari
Kumbe kupepesapepesa baba yupo mpango wa kando
Pombe ina madhara
Watoto wamefukuzwa shule
Pombe ina madhara
Baba unaitwa mzee wa ovyo
Pombe na madhara we
Pombe ina madhara
Pombe ina madhara
Pombe ina madhara
.................