Madam Martha - Nakushukuru Mungu Lyrics
Lyrics
Nakushukuru Mungu wangu,kwa kunifikisha hapaa
Nakushukuru Baba yangu,kwa kunifikisha hapaa
sijawahai kama nitafika hapa nilipo
sijawahai kama nitaitwa mtumishi wako
Nakushukuru Mungu wangu,kwa kunifikisha hapaa
Nakushukuru Baba yangu,kwa kunifikisha hapaa
sijawahai kama nitafika hapa nilipo
sijawahai kama nitaitwa mtumishi wako
ni mengi makubwa umetenda kwangu yanayonifanya nikusifu wewe
ni mengi makubwa umetenda kwangu yanayonifanya nikupambe wewe
Baba,Baba Baba
jina lako litukuzwe Baba
Mungu mwenye enzi
nani mwengine kama wewe Baba
Nilienda upu kweli kupunga upepo,nilipofika uko nakaanza kutafakari Baba jinsi Bahari ivyoheshimu mipaka yake nikajikuta nikisema Baba unashangaza wewe
Nilienda upu kweli kupunga upepo,nilipofika uko nakaanza kutafakari Baba jinsi Bahari ivyoheshimu mipaka yake nikajikuta nikisema Baba uinuliwe
Baba,Baba Baba
jina lako litukuzwe Baba
Mungu mwenye enzi
nani mwengine kama wewe Baba
Kila Ndege msitu anakiota chake
lakini Kobe anatembea na nyumba yake
hiyo yote ni utukufu wa jina lako ndiyo maana ninasema unashangaza we
Kina Ndege msitu anakiota chake
lakini Kobe anatembea na nyumba yake
hiyo yote ni utukufu wa jina lako ndiyo maana ninasema Baba uinuliwe JUu sana JUu sana
Baba,Baba Baba
jina lako litukuzwe Baba
Mungu mwenye enzi
nani mwengine kama wewe Baba
Video
Martha Baraka - Nakushukuru Mungu (Official Music Video) For Skiza dial *837*3264#
Meaning & Inspiration
I sat with these lyrics for a while, and it’s strange how something as simple as thanking God for "getting me here" hit me. Martha is looking back at her life, saying she never expected to reach this place or even be called His servant. It made me think about Paul writing to the Corinthians, asking who makes anyone different from anyone else. We don't really choose our callings, do we? We just find ourselves standing in them, and the only logical response is what she does—just thanking Him. It feels honest, like the relief of someone who finally realizes they didn’t get there by their own strength.
There’s this one part, though, where she talks about going to the beach just to get some air. She watches the ocean and starts thinking about how the sea respects its boundaries. It’s a quiet observation, but it brings me right back to Job, where God talks about setting limits for the waves, telling them they can come only this far and no further. Seeing God in the natural order like that, in the way a tortoise carries its home or a bird knows its nest—it’s simple, but it’s heavy. It’s saying that creation is constantly pointing at His authority.
I keep wrestling with the idea of whether just looking at nature is enough to truly know Him, though. She’s clearly overwhelmed by His majesty, and that’s a good starting point, but I wonder if the focus on His power in nature is missing the harder, sharper edges of the gospel. It’s easy to praise the God who keeps the tide in check. Is it just as easy to stay anchored when the waves actually start crashing over your head? She seems to have a peace that suggests she knows Him beyond just the scenery, but I’m left questioning if my own gratitude is actually tied to His character or just to the fact that I’ve managed to arrive at a "good" place. It’s a comfort to hear someone else admit they didn't expect to be where they are, but does that kind of praise survive when the view isn't quite so peaceful?