Nakushukuru Mungu wangu,kwa kunifikisha hapaa
Nakushukuru Baba yangu,kwa kunifikisha hapaa
sijawahai kama nitafika hapa nilipo
sijawahai kama nitaitwa mtumishi wako
Nakushukuru Mungu wangu,kwa kunifikisha hapaa
Nakushukuru Baba yangu,kwa kunifikisha hapaa
sijawahai kama nitafika hapa nilipo
sijawahai kama nitaitwa mtumishi wako
ni mengi makubwa umetenda kwangu yanayonifanya nikusifu wewe
ni mengi makubwa umetenda kwangu yanayonifanya nikupambe wewe
Baba,Baba Baba
jina lako litukuzwe Baba
Mungu mwenye enzi
nani mwengine kama wewe Baba
Nilienda upu kweli kupunga upepo,nilipofika uko nakaanza kutafakari Baba jinsi Bahari ivyoheshimu mipaka yake nikajikuta nikisema Baba unashangaza wewe
Nilienda upu kweli kupunga upepo,nilipofika uko nakaanza kutafakari Baba jinsi Bahari ivyoheshimu mipaka yake nikajikuta nikisema Baba uinuliwe
Baba,Baba Baba
jina lako litukuzwe Baba
Mungu mwenye enzi
nani mwengine kama wewe Baba
Kila Ndege msitu anakiota chake
lakini Kobe anatembea na nyumba yake
hiyo yote ni utukufu wa jina lako ndiyo maana ninasema unashangaza we
Kina Ndege msitu anakiota chake
lakini Kobe anatembea na nyumba yake
hiyo yote ni utukufu wa jina lako ndiyo maana ninasema Baba uinuliwe JUu sana JUu sana
Baba,Baba Baba
jina lako litukuzwe Baba
Mungu mwenye enzi
nani mwengine kama wewe Baba