Umenifanya Ibada Nikuabudu
umenipa kutumika chini ya pendo lako
Mamlaka na nguvu ninazo,
kufanya lolote utakalo
mamalaka na nguvu ninazo
maana we upo,ndani yangu
Umenifanya Ibada Nikuabudu
umenipa kutumika,chini ya pendo lako
mamlaka na nguvu ninazo
kufanya lolote utakalo
mamalaka na nguvu ninazo
maana we upo ndani yangu
Umenificha sirini,mwako bwana
Nikujue zaidi ya fahamu zangu
Mamlaka na nguvu ninazo
kufanya lolote utakalo
mamlaka na nguvu ninazo
maana we upo ndani yangu*2
Umenifanya Ibada,
nikwabudu umenipa kutumika,
chini ya pendo lako
mamlaka na nguvu ninazo
kufanya lolote utakalo
mamalaka na nguvu ninazo
maana we upo,ndani yako*2
Nasema ndio Ndio*4
Ndio Bwana,bwana ndio bwana,bwana*4