Eunice Njeri - Anarudi Tena Lyrics

Anarudi Tena Lyrics

Kuna wenye waitae siku za mwisho mabaya kote 
Aliyeitwa kuwa shahidi kwa walio potea njia 
Kutumika kama chombo waone wajue 
Ni mwaminifu kwa ahadi alizoweka Yesu

Anarudi tena, anarudi tena 
Yesu anarudi tena 
Utukufu Haleluya tumbariki tumwinue 
Sifu mwana anarudi tena 

Alisema tusihofu yuaenda Yesu 
Na yeye anakoenda nyumbani atuandalia 
Wakati unapovaa asubuhi saa sita usiku 
Anarudi atufikishe kule 

Anarudi tena, anarudi tena 
Yesu anarudi tena 
Utukufu Haleluya tumbariki tumwinue 
Sifu mwana anarudi tena 

Yesu kristo anarudi mwanakondoo 
Baba mwana roho Yeye ndiye
Aja mawinguni na ukuu na enzi 
Sifu Bwana sifu (Bwanaa!)
Sifu Bwana sifu (Bwanaa!)
Sifu Bwana sifu (Bwanaa!)

Haleluya (haleluya)
Utukufu Haleluya tumbariki tumwinue 
Sifu mwana anarudi tena 

Kila siku najiandaa kwa sherehe za furaha
(Sifu mwana anarudi tena)
Kila siku najiandaa kumuona tena
(Sifu mwana anarudi tena)


Anarudi Tena Video

Anarudi Tena Lyrics -  Eunice Njeri

Eunice Njeri Songs

Related Songs