MAMBO YANABADILIKA - Naona Mambo Yakibadilika Lyrics - Hellen Ken
Hellen Ken swahili
Chorus:
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Mambo, mambo yabadilika
#MamboYanabadilika
MAMBO YANABADILIKA - Naona Mambo Yakibadilika Video
MAMBO YANABADILIKA - Naona Mambo Yakibadilika Lyrics
Huu, ni mwaka wa urejesho
Mambo, mambo yabadilika
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Mambo, mambo yabadilika
Walio chini sasa, naona wakiinuliwa
Walio nyuma sasa, naona wakiwa mbele
Wanaodharauliwa, naona heshima zao
Wanaolia sasa, machozi yanapanguzwa
Huu ni mwaka wa urejesho
Uliyepoteza ndoa, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza watoto, naona wakirejeshwa
Uliyepoteza nyumba, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza kazi, naona ikirejeshwa
Uliyepoteza cheo, naona kikirejeshwa
Uliyepoteza heshima, naona ikirejea
Kwani mambo yabadilika
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Majina yaenda kubadilika
Wanaoitwa tasa, naona wakiitwa mama
Wanaodharauliwa, naona heshima zao
Wanaoitwa duni, sasa wainuliwa
Walio pekee yao, waenda pata wachumba
Kwani mambo, mambo yabadilika
Wanaolia sasa, machozi wanapanguza
Waliokataliwa, sasa wakubalika
Wasio na makao, wapata makao yao
Wasio na amani, wapata amani yao
Wasio na furaha, wapata furaha yao
Kwani mambo, mambo yabadilika
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Jipe jina, tutakuita unapojiita sasa
Pokea jina jipya, maana majina yabadilika
Refrain: Naitwa mbarikiwa
Tukuite nani nani leo
Jipe jina, jipe jine
Na wewe waitwa nani leo
Baba yangu tukuite nani
Naona mambo yakibadilika
Yabidilika kwa wema wako
Jipe jina, jipe jina