Sifa Lyrics

Tumekuja Kukuchukua  by Bony Mwaitege cover art

Bony Mwaitege - Tumekuja Kukuchukua Lyrics

Artist:
Bony Mwaitege

Lyrics

ieyee yaah hayaa yeeh


Tumekuja kukuchukua 


ieyee yaah hayaa yeeh


Tumekuja kukuchukua 


Bibi harusi (Tumekuja kukuchukua) 


Bibi harusi twende mama (Tumekuja kukuchukua) 


Bibi harusi (Tumekuja kukuchukua) 


Wazazi wako tumeelewana nao (Tumekuja kukuchukua) 


Wameturuhusu tuondoke nawe (Tumekuja kukuchukua) 


Tusingeweza kukuchukua bila ruhusa ya wazazi wako 


Ndio maana tulisafiri kwenda kuwaomba wazazi wako 


Ili turuhusiwe, zawadi mbali mbali tuliwapelekea 


Tunashukuru Mungu walizipokea 


Tulipowaomba tukuchukue 


Kuna taratibu tuliambiwa tuzifuate 


Taratibu zote tulizifwata,


Hapo ndipo tuliporuhusiwa 


Tumepewa baraka zote wewe uwe mke wa kijana wetu 


Bibi arusi wewe 


Tumepewa baraka zote wewe uingie kwenye ukoo wetu 


Bibi arusi wee


Tunamshukuru Jehovah (Tumekuja kukuchukua) 


Maombi yetu ameyasikia (Tumekuja kukuchukua) 


Tumeomba muda mrefu sana (Tumekuja kukuchukua) 


Kijana wetu apate mke (Tumekuja kukuchukua) 


Maombi yetu yamejibiwa (Tumekuja kukuchukua) 


Wewe ndiye jibu la maombi yetu (Tumekuja kukuchukua) 


Sisi unaotuona (Tumekuja kukuchukua) 


Ni ndugu wa Bwana arusi (Tumekuja kukuchukua) 


Tumesindikiza ndugu yetu (Tumekuja kukuchukua) 


Tumekuja kukuchukua wewe (Tumekuja kukuchukua) 


Tunawashukuru ndugu zako (Tumekuja kukuchukua) 


Wametupokea vizuri sana (Tumekuja kukuchukua) 


Bibi arusi twende wee (Tumekuja kukuchukua) 


Twende kwetu mama  


Tunatimiza maandiko (Tumekuja kukuchukua) 


Kama ilivyoandikwa (Tumekuja kukuchukua wewe) 


Mtu ataacha wazazi wake (Tumekuja kukuchukua) 


Ataambatana na mumewe (Tumekuja kukuchukua) 


Bibi arusi twende wee (Tumekuja kukuchukua) 


Malkia wetu twende (Tumekuja kukuchukua) 


Usiogope twende (Tumekuja kukuchukua) 


Yanatimizwa maandiko (Tumekuja kukuchukua)


Video