Japhet Zabron - Mbali Lyrics
Lyrics
Basi tunafurahia Kumbe bwana umesha jibu Nikushukuru ulivyo nivusha kwa lile lile tatizo Sio mwingine ni wewe kwanza Leo mi sina ubishi Wa kazi zako kilicho nileta hapa nikushukuru Mengi huja na kupita Ila sio wewe Yesu hujawa, hujawa jawahi nipita
Aaah umetoka name (mbali) Ukanileta toka (mbali) mmh Ukanitunza toka (mbali) yeeh Nakupenda Unaweza ukiwa (mbali) Unatenda toka (mbali) mmmh Bado we ni mungu uko (mbali) eeh Nakupenda
Upendo wako si maneno tuu Upendo wako ni matendo pia Baba mwanao Leo niko na sentensi, ambayo Nataka malizia, ooh lakini Sina hakika na kalamu yangu Baba kama Yaweza maliza andika Sifa zako my God My God chinedumo Wafariji wana farijiwa nawe, ooooohh Watia moyo wanatiwa moyo na wewe Hii yote yaonyesha wewe ni mkuu Nakushukuru
Wanijua toka (mbali) Umenilinda toka (mbali) Umeni tunza toka (mbali) eeh bwaba Yesu Nakupenda Upendo wako ni toka (mbali) Matunzo yako nitangu (mbali) bwana Na utanipeleka (mbali) eeh bwana Nakupenda Umetoka nami (mbali) Kanileta toka (mbali) Mmmh kanitunza toka (mbali) heee Nakupenda
Video
JAPHET ZABRON FT GODFREY STEVEN - MBALI (official video)_.Dir.Crix