Nimepanda nimeshuka, Milima mabonde na mito nimevuka, Nimeosa! Nimesota! Nimekosa mpaka mpaka nimekopa, Nimeamini binadamu ole wangu roho wakanivunja Niliambiwa nikakana, Mimi mwenyewe nimekuja ona, Tunachothamini hakitufanyi tufurahi Ohh! Najiuliza furaha yangu ni nani…..
Chorus Afadhali Yesu (ah) Afadhali yeh! Aliyena Yesu,
Nimesaka saka saka mbali sana Nikipata pata bado nataka more Nimesaka saka saka pesa asana Nikipata pata bado nataka more Makosa yangu na dhambi zangu Matendo yangu yale nina juta Umechukuwa umeondoa Ulisema huta yakumbuka
Tunachothamini hakitufanyi tufurahi Ohh! Najiuliza furaha yangu ni nani…
Chorus Afadhali Yesu (ah) Afadhali yeh! Aliyena Yesu