Goodluck Gozbert - Nibadilishe Lyrics

Nibadilishe Lyrics

Kwanza nimenyoa deni 
Napenda sana mitindo ya nywele 
Kuruka usiseme, viwanja vipya ninakaribisha 
Kwenye kurasa za insta nakesha nikitafuta tena mabaya 
Niki zigi napata nalitafuta tena nalipa wala silipi madeni 
Nikikopa nabet wala sionangi ? 
Fungu la kumi kwangu iyo ni story 

Nasubiri jumapili ata unajua sina imani 
Japo ninaitikia amini nasubiria ukitenda kwanza 
Iyo nikubali, 
Kama Yesu najua, na idadi ya vitabu najua 
Na yalipo makanisa najua 
Ila kuhudhuria nashindwa 

Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 
Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 
Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 
Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 

Niko na ubaya, niko na ubaya 
Niko na ubaya Bwana nibadilishe 

Kuna vinyimbo vinanichoma hasa ile parapanda 
Ikipigwa wakizikana pia sirudi kosa 
Maneno yananichoma binadamu ni maua 
Ikipita wiki moja masikini nasahau kabisa 

Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 
Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 
Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 
Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 

Eeh Niko na ubaya, niko na ubaya 
Niko na ubaya Bwana nibadilishe 
Ooh Niko na ubaya, niko na ubaya 
Niko na ubaya Bwana nibadilishe 

Nakupa maisha na moyo utakase 
Ninapoanguka nishike nisimame 
Nakupa maisha na moyo utakase 
Ninapoanguka nishike nisimame 

Eeh Niko na ubaya, niko na ubaya 
Niko na ubaya Bwana nibadilishe 
Ooh Niko na ubaya, niko na ubaya 
Niko na ubaya Bwana nibadilishe 


Nibadilishe Video

Nibadilishe Lyrics -  Goodluck Gozbert

Goodluck Gozbert Songs

Related Songs