Sifa Lyrics

Nibadilishe by Goodluck Gozbert cover art

Goodluck Gozbert - Nibadilishe Lyrics

Artist:
Goodluck Gozbert

Lyrics

Kwanza nimenyoa deni 


Napenda sana mitindo ya nywele 


Kuruka usiseme, viwanja vipya ninakaribisha 


Kwenye kurasa za insta nakesha nikitafuta tena mabaya 


Niki zigi napata nalitafuta tena nalipa wala silipi madeni 


Nikikopa nabet wala sionangi ? 


Fungu la kumi kwangu iyo ni story 


Nasubiri jumapili ata unajua sina imani 


Japo ninaitikia amini nasubiria ukitenda kwanza 


Iyo nikubali, 


Kama Yesu najua, na idadi ya vitabu najua 


Na yalipo makanisa najua 


Ila kuhudhuria nashindwa 


Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 


Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 


Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 


Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 


Niko na ubaya, niko na ubaya 


Niko na ubaya Bwana nibadilishe 


Kuna vinyimbo vinanichoma hasa ile parapanda 


Ikipigwa wakizikana pia sirudi kosa 


Maneno yananichoma binadamu ni maua 


Ikipita wiki moja masikini nasahau kabisa 


Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 


Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 


Kwa ibada nasinzia sijui mdudu kaingia 


Ila nikiona beer nasikia kuchangamka 


Eeh Niko na ubaya, niko na ubaya 


Niko na ubaya Bwana nibadilishe 


Ooh Niko na ubaya, niko na ubaya 


Niko na ubaya Bwana nibadilishe 


Nakupa maisha na moyo utakase 


Ninapoanguka nishike nisimame 


Nakupa maisha na moyo utakase 


Ninapoanguka nishike nisimame 


Eeh Niko na ubaya, niko na ubaya 


Niko na ubaya Bwana nibadilishe 


Ooh Niko na ubaya, niko na ubaya 


Niko na ubaya Bwana nibadilishe 


Video