Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Maserafi, wako mbele zako Mungu uu
wazikabithi heshima zako mbele zako,
Wanalia mtakatifu, ni wewe Mungu
Mtakatifu mtakatifu, ni wewe Mungu
Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Makerubi pia wako mbele zako ooh,
hata nao wazikabithi heshima zao
Wanazivua taji zao za dhahabu uuh,
wakiinama, mtakatifu ni wewe Mungu.
Bwana Umeinuliwa katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Wazee wale ishirini na wanne, eeh,
hata nao wazikabidhi heshima zao,
Wanainama, mtakatifu ni wewe Mungu uu,
mtakatifu, mtakatifu ni wewe Mungu.
Bwana Umeinuliwa aa, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Viumbe wale walio hai ii,
hata nao wazikabithi heshima zao.
Wapeperusha, mabawa yao mbele zako, ooh,
wajifunika, mtakatifu ni wewe Mungu
Bwana Umeinuliwa aa, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Nafsi yangu naiinua mbele zako ooh,
Naungamana na hilo jeshi la mbinguni,
mataifa yote nayo yajue, eeh,
ya kwamba wewe, wewe mungu ni mtakatifu
Bwana Umeinuliwa aaah, katika kiti chako cha enzi
Bwana Umeinuliwa aah, katika kiti chako cha enzi
Write a review/comment/correct the lyrics of Bwana Umeinuliwa Katika Kiti Chako Cha Enzi:
It's coming to a week but I can't stop playing this song day in day out.
So enriching to my soul.
Really blessed.
Many more blessings to Faith Mbugua 1 year ago
this song really blesses 2 years ago
Unto thee do I lift up mine eyes, O thou that sittest in the heavens.
In the year that king Uzziah died I saw the Lord sitting upon a throne, high and lifted up; and his train filled the temple.
And as Moses lifted up the serpent in the wilderness, even so must the Son of man be lifted up;
the four and twenty elders shall fall down before him that sitteth on the throne, and shall worship him that liveth for ever and ever, and shall cast their crowns before the throne, saying,
And the four and twenty elders and the four living creatures fell down and worshipped God that sitteth on the throne, saying, Amen; Hallelujah.